Thursday, September 18, 2014
On 6:46 AM by Unknown No comments
Tamasha la TribeOne ambalo lilikuwa lifanyike kwa siku tatu kuanzia September 26 huko Cullinan, Afrika Kusini limeahirishwa.
Kwenye tamasha hilo lililokuwa linatarajiwa kuwa kubwa zaidi kuwahi kufanyika barani Afrika Nicki Minaj, Macklemore and Ryan Lewis, J Cole na Kid Ink walikuwa watumbuize pamoja na wasanii wengine wakubwa wa Afrika, akiwemo Alikiba.
Waandaaji wametaja sababu za kuahirishwa kwa tamasha hilo ni kuchelewa kukamilika kwa maandalizi ya sehemu ambapo lingefanyika.
“Site preparation and related infrastructure development required to host the Festival, being the responsibility of the CoT, fell behind schedule to a material extent, such that it was no longer realistically possible to stage and deliver the Festival to the scale and quality that the organizers had always planned. Under the circumstances, and despite efforts to seek alternative arrangements, the organizers have had no option but to cancel the event,” wameandika kwenye maelezo yake.
“TribeOne Festivals apologises to all of those who were looking forward to the Festival – both the ticket holders, and the international and local performing artists who were booked by TribeOne Festivals for the event. All ticket holders will be reimbursed, details of this process will be announced shortly.”
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Slider
MusicView All
TechnologyView All
PicturesView All
GamesView All
Labels
Category
Ads
Text
Find Us On Facebook
Link List
Contact Form
Blogroll
Flickr Images
728x90 AdSpace
Label
FashionView All
Latest News
Popular Posts
-
Tumezoea kusikia wakati wa kufunga ndoa watu wakila kiapo kuwa watapendana hadi kifo kitakapowakuta, kia...
-
Nicki Minaj didn't seem to have big problems with hilarious memes appearing on the internet following the release of her...
-
Miley Cyrus updated her Instagram with lots of photoshopped pictures. This time, Justin Bieber 's Calvin Kl...
-
Mr Blue aka Kabayser ameanzisha taasisi ya ‘Micharazo Foundation’ itakayoanza kupokea wasanii wapya na pia itakuwa sehemu ya kukuza vipaj...
-
Brad Pitt has owned a gun since he was very young. In a new interview with Radio Times to promote his new flick " Fury ", the a...
-
Lil Wayne ni msanii wa Hiphop lakini aliwahi kujaribu kutoa album ya rock ambayo inaitwa Rebirth yenye hit singles kama Knock Out na Porm ...
-
Mara nyingi birthday party za washkaji huwa zinasindikizwa na umwagiwaji wa maji kwa mhusika,sasa unaambiwa hii ya Shetta imekua kibok...
-
Amber Rose was a guest on the Breakfast Club last week , and she threw some shade towards Tyga and Kylie Jenner, alluding that the two wer...
-
Yemen imesema wapiganaji wa kundi la al-Qaeda wamewaua watu sita katika mapi...
-
The Rock says his mom, Ata Maivia-Johnson and his cousin were struck HEAD ON by a drunk driver this week ... and luckily, they su...
0 comments:
Post a Comment