Friday, September 26, 2014
On 2:14 AM by Unknown No comments
Mwanamitindo huyo alivamiwa ghafla na shabiki mmoja kumrukia na kumvuta kwa nguvu kiasi cha kutaka kumuangusha chini sekunde chache baada ya kushuka kwenye gari lake.
Kwa bahati nzuri mlinzi wake aliwahi kumshikilia asifike ardhini huku akionekana kujaa uoga kufuatia tukio hilo.
Kwa mujibu wa video iliyowekwa na TMZ, mama yake Kim Kardashian, Kris Jenner alishuka kwenye gari haraka na kwa mshituko alipiga kelele akisema ‘stop it’ kabla walinzi hawajamdhibiti mwanaume huyo na kumtoa katika eneo hilo.



TMZ imemtaja mtu aliyetekeleza tukio hilo kuwa ni Vitalii Sediuk ambaye ni plankster (mchekeshaji anaefanya utani wa kweli wa kushitukiza kwa mastaa) Ukraine aliyewahi kumshambulia pia Brad Pitt, Leo DiCaprio Will Smith.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Slider
MusicView All
TechnologyView All
PicturesView All
GamesView All
Labels
Category
Ads
Text
Find Us On Facebook
Link List
Contact Form
Blogroll
Flickr Images
728x90 AdSpace
Label
FashionView All
Latest News
Popular Posts
-
Tumezoea kusikia wakati wa kufunga ndoa watu wakila kiapo kuwa watapendana hadi kifo kitakapowakuta, kia...
-
Nicki Minaj didn't seem to have big problems with hilarious memes appearing on the internet following the release of her...
-
Miley Cyrus updated her Instagram with lots of photoshopped pictures. This time, Justin Bieber 's Calvin Kl...
-
Mr Blue aka Kabayser ameanzisha taasisi ya ‘Micharazo Foundation’ itakayoanza kupokea wasanii wapya na pia itakuwa sehemu ya kukuza vipaj...
-
Kikosi Kazi cha Polisi cha Kuzuia Dawa za Kulevya nchini kimemhoji kwa zaidi ya saa 10, msanii Agnes Gerald ‘Masogange’ kuhusiana na tuhum...
-
Lil Wayne ni msanii wa Hiphop lakini aliwahi kujaribu kutoa album ya rock ambayo inaitwa Rebirth yenye hit singles kama Knock Out na Porm ...
-
Mara nyingi birthday party za washkaji huwa zinasindikizwa na umwagiwaji wa maji kwa mhusika,sasa unaambiwa hii ya Shetta imekua kibok...
-
Yemen imesema wapiganaji wa kundi la al-Qaeda wamewaua watu sita katika mapi...
-
Brad Pitt has owned a gun since he was very young. In a new interview with Radio Times to promote his new flick " Fury ", the a...
-
President Barack Obama commended the U.S. soccer team Wednesday for making the country proud in the World Cup tournament in Brazil.
0 comments:
Post a Comment