Friday, October 31, 2014
On 5:17 AM by Unknown No comments
Kanye West anadaiwa kuwa na mipango ya kuhamia (kimoja) jijini Paris, Ufaransa mwakani na mwanae North, hata kama mke wake Kim Kardashian akikataa kuhama nao.
Kim na Kanye wanadaiwa kuwa kwenye malumbano kwa muda mrefu kuhusiana na uamuzi huo.
Mtandao wa Radar online umeripoti kuwa kabla ya sherehe ya siku ya kuzaliwa ya Kim iliyofanyika, Tao Nightclub, Las Vegas wawili hao walijikuta wakilumbana kuhusiana na jambo hilo.
“Wakati wanajiandaa, Kanye alimuambia Kim kwa upole kuwa anapanga kuhamia Paris… na amepanga kufanya hivyo bila yeye (Kim). Ilikuwa kama ngumi nzito nyuma ya kichwa chake,” kilisema chanzo kimoja.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Slider
MusicView All
TechnologyView All
PicturesView All
GamesView All
Labels
Category
Ads
Text
Find Us On Facebook
Link List
Contact Form
Blogroll
Flickr Images
728x90 AdSpace
Label
FashionView All
Latest News
Popular Posts
-
It's good to be Iron Man — Robert Downey Jr. once again leads Fo...
-
Tumezoea kusikia wakati wa kufunga ndoa watu wakila kiapo kuwa watapendana hadi kifo kitakapowakuta, kia...
-
Arnold Schwarzenegger was born and raised in Austria. But The Expendables 3 star looked like a true American as he left Cafe Roma in Beverly...
-
Brad Pitt and Angelina Jolie will finally tie the knot, only for a movie. According to a scoop from The Hollywoo...
-
Lil Wayne ni msanii wa Hiphop lakini aliwahi kujaribu kutoa album ya rock ambayo inaitwa Rebirth yenye hit singles kama Knock Out na Porm ...
-
ITALIA imeaga Kombe la Dunia nchini Brazil baada ya kufungwa 1-0 na Uruguay, bao pekee la Diego Godin katika mchezo ambao mshambuliaji Luis ...
-
Baada ya habari za ndege ya Malaysia airline hivi sasa ajali nyingine imetoka karibu kabisa na Tanzania ambapo ni nchini Uganda. Ndege hiy...
-
Mwaka huu Psquare hawataki mchezo na mtuu baada ya kuachia nyimbo tatu kwa mpigo ikiwemo sapraiz ya nguvu ya video yao mpya inayoitwa Ej...
-
Brad Pitt has owned a gun since he was very young. In a new interview with Radio Times to promote his new flick " Fury ", the a...
0 comments:
Post a Comment