Tuesday, October 14, 2014
On 2:12 AM by Unknown No comments
“Nimeamua kuachia ngoma mpya sasa hivi kwasababu nafikiri ni muda muafaka” . “Watu wengi walikuwa wanataka niachie ngoma katika kipindi walichokuwa wanahitaji, lakini nikawa najifikiria kitu kwasababu ‘Basi Nenda’ ilikuja muda ambao walikuwa hawaufahamu.”
Kuhusu utofauti utakaokuwepo katika single mpya Mo amesema, “Kwanza naweza kusema midundo halafu vile vile uandishi, nimetumia techniques kubwa , nimetumia mitindio mikubwa sana ya sauti kuwaonesha Watanzania kwamba tunajua kuandika halafu na ubora wa kazi yenyewe.”
‘Simama’ ambao ameufanya kwa Mazuu ndio jina la wimbo anaotarajia kuutoa, japo amesema bado yupo njia panda sababu zipo nyimbo mbili kali ambazo mpaka kufikia wiki ijayo atakua amepata uamuzi wa mwisho wa ipi itangulie kutoka.
“Nimefanya kazi kwa Lollipop, nimefanya kazi kwa Mazuu Records, kwa Lollipop inaitwa ‘Natamani’, kwa Mazuu inaitwa ‘Simama’”.
Ameongeza kuwa hakuna msanii yeyote aliyemshirikisha kwenye nyimbo zote mbili sababu bado anahitaji kuonesha uwezo wake.
“Nataka nioneshe uwezo wangu kwanza, bado nafikiri nina uwezo mkubwa kuweza kusimama peke yangu japokuwa tayari nina wigo mkubwa sana kuweza kumshirikisha mtu yeyote, lakini nimeona tu kwamba nioneshe bado nina uwezo wa kusimama mimi mwenyewe.”
Kuhusu amejiandaaje kubaki mahali ambapo Basi Nenda imemfikisha au juu zaidi yake, Mo Music amesema, “Kwanza ndio maana nikakaa muda kidogo kuweza kujipanga niweze kujua ni wapi ambapo kuna mapungufu ambayo natakiwa niyapunguze, wapi ambapo niongeze, lakini kikubwa ni mipango na mbinu ambazo tumeziandaa mimi na mtu ambaye tunashirikiana katika swala la muziki. Pia naahidi kufanya video kubwa sana.”
Mo Music ni miongoni mwa wasanii ambao walipata nafasi ya kuzunguka kwenye tour ya tamasha kubwa la Fiesta 2014, ambalo Jumamosi hii linatarajiwa kufanyika jijini Dar es salaam ambapo rapper wa Marekani T.I anatarajiwa kushare jukwaa na wasanii wa Bongo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Slider
MusicView All
TechnologyView All
PicturesView All
GamesView All
Labels
Category
Ads
Text
Find Us On Facebook
Link List
Contact Form
Blogroll
Flickr Images
728x90 AdSpace
Label
FashionView All
Latest News
Popular Posts
-
Tumezoea kusikia wakati wa kufunga ndoa watu wakila kiapo kuwa watapendana hadi kifo kitakapowakuta, kia...
-
Nicki Minaj didn't seem to have big problems with hilarious memes appearing on the internet following the release of her...
-
Miley Cyrus updated her Instagram with lots of photoshopped pictures. This time, Justin Bieber 's Calvin Kl...
-
Mr Blue aka Kabayser ameanzisha taasisi ya ‘Micharazo Foundation’ itakayoanza kupokea wasanii wapya na pia itakuwa sehemu ya kukuza vipaj...
-
Brad Pitt has owned a gun since he was very young. In a new interview with Radio Times to promote his new flick " Fury ", the a...
-
Lil Wayne ni msanii wa Hiphop lakini aliwahi kujaribu kutoa album ya rock ambayo inaitwa Rebirth yenye hit singles kama Knock Out na Porm ...
-
Mara nyingi birthday party za washkaji huwa zinasindikizwa na umwagiwaji wa maji kwa mhusika,sasa unaambiwa hii ya Shetta imekua kibok...
-
Amber Rose was a guest on the Breakfast Club last week , and she threw some shade towards Tyga and Kylie Jenner, alluding that the two wer...
-
Yemen imesema wapiganaji wa kundi la al-Qaeda wamewaua watu sita katika mapi...
-
The Rock says his mom, Ata Maivia-Johnson and his cousin were struck HEAD ON by a drunk driver this week ... and luckily, they su...
0 comments:
Post a Comment