Monday, October 13, 2014
Staa wa bongofleva Steve RNB ameoa!! unazitaka picha zote kuanzia kanisani mpaka ukumbini? ziko hapa
On 3:12 AM by Unknown No comments
Ni staa wa bongofleva ambae hits zilizompa headlines ni pamoja na ‘Tabasamu‘ aliyoshirikishwa na Mr. Blue October 11 2014 amefunga ndoa kwenye kanisa la Word Alive Sinza Mori Dar es salaam….
Yafuatayo ni mambo matano kuhusu Steve na mke wake Easter.
1. Steve ana umri wa miaka 28 na mke wake Easter ana umri wa miaka 25.
2. Wawili hawa walianza kuwa pamoja kwenye uhusiano wa kimapenzi toka wakiwa High School miaka nane iliyopita shuleni St. Mathew kisha walikwenda wote chuo IFM na kusoma pamoja.
3. Steve amemsifia sana mke wake kwa kuwa mvumilivu na kuhimili vitu vingi alivyomkosea kwenye maisha ya ujana ikiwemo kutoka nje ya uhusiano wa kimapenzi.
4. Amesema hajachelewa kuoa wala hajawahi kuoa, yaani huu ndio umekua muda muafaka kwake kufanya maamuzi haya kwa sababu anaamini ndoa inatakiwa uanze kuenjoy ukiwa na umri kama huu.
5. Steven amekiri kumekuwepo na time za huzuni na furaha kwenye uhusiano wao wa kimapenzi, kipindi kirefu walichowahi kukaa bila kushemeshana ni zaidi ya wiki moja…. wamekua wakigombana lakini Steve hajawahi kutamka neno ‘It’s over’

































1. Steve ana umri wa miaka 28 na mke wake Easter ana umri wa miaka 25.
2. Wawili hawa walianza kuwa pamoja kwenye uhusiano wa kimapenzi toka wakiwa High School miaka nane iliyopita shuleni St. Mathew kisha walikwenda wote chuo IFM na kusoma pamoja.
3. Steve amemsifia sana mke wake kwa kuwa mvumilivu na kuhimili vitu vingi alivyomkosea kwenye maisha ya ujana ikiwemo kutoka nje ya uhusiano wa kimapenzi.
4. Amesema hajachelewa kuoa wala hajawahi kuoa, yaani huu ndio umekua muda muafaka kwake kufanya maamuzi haya kwa sababu anaamini ndoa inatakiwa uanze kuenjoy ukiwa na umri kama huu.
5. Steven amekiri kumekuwepo na time za huzuni na furaha kwenye uhusiano wao wa kimapenzi, kipindi kirefu walichowahi kukaa bila kushemeshana ni zaidi ya wiki moja…. wamekua wakigombana lakini Steve hajawahi kutamka neno ‘It’s over’
Wa kwanza kwenye huu mstari wa mbele ni Askofu Deo Lubala wa kanisa analosali Steve, Word Alive Sinza Mori.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Slider
MusicView All
TechnologyView All
PicturesView All
GamesView All
Labels
Category
Ads
Text
Find Us On Facebook
Link List
Contact Form
Blogroll
Flickr Images
728x90 AdSpace
Label
FashionView All
Latest News
Popular Posts
-
Tumezoea kusikia wakati wa kufunga ndoa watu wakila kiapo kuwa watapendana hadi kifo kitakapowakuta, kia...
-
Nicki Minaj didn't seem to have big problems with hilarious memes appearing on the internet following the release of her...
-
Miley Cyrus updated her Instagram with lots of photoshopped pictures. This time, Justin Bieber 's Calvin Kl...
-
Mr Blue aka Kabayser ameanzisha taasisi ya ‘Micharazo Foundation’ itakayoanza kupokea wasanii wapya na pia itakuwa sehemu ya kukuza vipaj...
-
Brad Pitt has owned a gun since he was very young. In a new interview with Radio Times to promote his new flick " Fury ", the a...
-
Lil Wayne ni msanii wa Hiphop lakini aliwahi kujaribu kutoa album ya rock ambayo inaitwa Rebirth yenye hit singles kama Knock Out na Porm ...
-
Mara nyingi birthday party za washkaji huwa zinasindikizwa na umwagiwaji wa maji kwa mhusika,sasa unaambiwa hii ya Shetta imekua kibok...
-
Brad Pitt and Angelina Jolie will finally tie the knot, only for a movie. According to a scoop from The Hollywoo...
-
Amber Rose was a guest on the Breakfast Club last week , and she threw some shade towards Tyga and Kylie Jenner, alluding that the two wer...
-
Yemen imesema wapiganaji wa kundi la al-Qaeda wamewaua watu sita katika mapi...
0 comments:
Post a Comment