Friday, October 31, 2014
On 5:54 AM by Unknown No comments
Dully Sykes na TID
Wakongwe wawili wa muziki wa Bongo Flava, TID na Dully Sykes wamemaliza tofauti zao na kuamua kuingia studio kufanya wimbo wa pamoja uitwao’Money Girl’Akizungumza leo na 255 ndani ya XXL ya Clouds FM, TID alisema hawana sababu ya kuendelea kulumbana kwani wana kazi kubwa ya kufanya muziki mzuri kwaajili ya mashabiki wao.
“Unajua Dully Sykes sikurekodi wimbo naye ndo tumekutana tufanye hivyo,” alisema TID.
“Dully unajua yuko na studio nzuri sana sasa hivi, so Dully the first naamini anafanya nyimbo nyingi za Bongo Flava, idea ya wimbo kwa sababu ni wimbo wangu chochote lazima niproduce, nikatengeneza chorus fulani hivi. Nilimtumia kwa idea ya chorus yeye ataenda kutengeneza beat, sasa kitu kizuri ambacho nimegundua hakutengeza beat yote, time nilivyoenda pale juzi ndo akaanza kutengeneza pale wakati mimi naimba chorus yeye anatengeza beat. Lakini bado the song is not ready, tunatengeneza kwanza demo tu halafu ndo tuitengeneze. Kuna vitu vingi vinatakiwa vifanyike. The song is called ‘Money Girl,” aliongeza.
“Mimi na Dully Sykes tulikuwa tuna bifu sababu tulikuwa na conflict za utotoni lakini kumbuka sasa hivi ni 2014, influence yetu imefanya wanamuziki wengi kufanya muziki so lazima nifanye naye wimbo. Kitakuwa kizuri kwa wote ambao wana u-support muziki wa Bongo Flava.”
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Slider
MusicView All
TechnologyView All
PicturesView All
GamesView All
Labels
Category
Ads
Text
Find Us On Facebook
Link List
Contact Form
Blogroll
Flickr Images
728x90 AdSpace
Label
FashionView All
Latest News
Popular Posts
-
Tumezoea kusikia wakati wa kufunga ndoa watu wakila kiapo kuwa watapendana hadi kifo kitakapowakuta, kia...
-
Nicki Minaj didn't seem to have big problems with hilarious memes appearing on the internet following the release of her...
-
Miley Cyrus updated her Instagram with lots of photoshopped pictures. This time, Justin Bieber 's Calvin Kl...
-
Mr Blue aka Kabayser ameanzisha taasisi ya ‘Micharazo Foundation’ itakayoanza kupokea wasanii wapya na pia itakuwa sehemu ya kukuza vipaj...
-
Brad Pitt has owned a gun since he was very young. In a new interview with Radio Times to promote his new flick " Fury ", the a...
-
Lil Wayne ni msanii wa Hiphop lakini aliwahi kujaribu kutoa album ya rock ambayo inaitwa Rebirth yenye hit singles kama Knock Out na Porm ...
-
Mara nyingi birthday party za washkaji huwa zinasindikizwa na umwagiwaji wa maji kwa mhusika,sasa unaambiwa hii ya Shetta imekua kibok...
-
Brad Pitt and Angelina Jolie will finally tie the knot, only for a movie. According to a scoop from The Hollywoo...
-
Amber Rose was a guest on the Breakfast Club last week , and she threw some shade towards Tyga and Kylie Jenner, alluding that the two wer...
-
Yemen imesema wapiganaji wa kundi la al-Qaeda wamewaua watu sita katika mapi...
0 comments:
Post a Comment