Thursday, October 9, 2014
On 4:33 AM by Unknown No comments
Japokuwa Wizkid alishathibitisha kupitia Twitter kuwa amefanya collabo na staa wa R&B Chris Brown wa Marekani, staa huyo wa Nigeria amezungumzia collabo hiyo alipofanya mahojiano na DJ Abrantee wa Capital Xtra ya Uingereza Jumamosi iliyopita.
Wizkid ambae amekua na urafiki na Breezy toka walipokutana na kutumbuiza pamoja Nigeria na Ghana miaka miwili iliyopita, amesema hivi karibuni alikutana nae L.A, Marekani na kufanikiwa kurekodi nae wimbo uitwao ‘African Bad Girl’. “When I went back in L.A he jumped on one of my tracks..its actually a new one…its called ‘African Bad Girl’”.
Wizkid ameongeza kuwa ‘African Bad Girl’ ft. Chris Brown ndio itakuwa single ya kwanza kutoka kwenye album yake ijayo, na kuongeza kuwa kwasasa wako mbioni kufanya video ya wimbo huo pamoja na video ya wimbo mwingine ‘Show You The Money’ aliomshirikisha staa mwingine wa Marekani, Tyga.
“Big shout out to Chris Brown you know like aah he came for a show in Lagos he brought me out as a surprise, we did the same thing in Ghana you know we have just been friends since then he has been showing me love you know, when I went back in L.A he jumped on one of my tracks..its actually a new one…its called ‘African Bad Girl’. Thats actually the first single of the next album..so we just trying do that video then am shooting the video for ‘Show you the money video’ ft. Tyga as well”.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Slider
MusicView All
TechnologyView All
PicturesView All
GamesView All
Labels
Category
Ads
Text
Find Us On Facebook
Link List
Contact Form
Blogroll
Flickr Images
728x90 AdSpace
Label
FashionView All
Latest News
Popular Posts
-
Tumezoea kusikia wakati wa kufunga ndoa watu wakila kiapo kuwa watapendana hadi kifo kitakapowakuta, kia...
-
Nicki Minaj didn't seem to have big problems with hilarious memes appearing on the internet following the release of her...
-
Miley Cyrus updated her Instagram with lots of photoshopped pictures. This time, Justin Bieber 's Calvin Kl...
-
Mr Blue aka Kabayser ameanzisha taasisi ya ‘Micharazo Foundation’ itakayoanza kupokea wasanii wapya na pia itakuwa sehemu ya kukuza vipaj...
-
Brad Pitt has owned a gun since he was very young. In a new interview with Radio Times to promote his new flick " Fury ", the a...
-
Lil Wayne ni msanii wa Hiphop lakini aliwahi kujaribu kutoa album ya rock ambayo inaitwa Rebirth yenye hit singles kama Knock Out na Porm ...
-
Mara nyingi birthday party za washkaji huwa zinasindikizwa na umwagiwaji wa maji kwa mhusika,sasa unaambiwa hii ya Shetta imekua kibok...
-
Brad Pitt and Angelina Jolie will finally tie the knot, only for a movie. According to a scoop from The Hollywoo...
-
Amber Rose was a guest on the Breakfast Club last week , and she threw some shade towards Tyga and Kylie Jenner, alluding that the two wer...
-
Yemen imesema wapiganaji wa kundi la al-Qaeda wamewaua watu sita katika mapi...
0 comments:
Post a Comment