Thursday, October 9, 2014
On 4:33 AM by Unknown No comments
Japokuwa Wizkid alishathibitisha kupitia Twitter kuwa amefanya collabo na staa wa R&B Chris Brown wa Marekani, staa huyo wa Nigeria amezungumzia collabo hiyo alipofanya mahojiano na DJ Abrantee wa Capital Xtra ya Uingereza Jumamosi iliyopita.
Wizkid ambae amekua na urafiki na Breezy toka walipokutana na kutumbuiza pamoja Nigeria na Ghana miaka miwili iliyopita, amesema hivi karibuni alikutana nae L.A, Marekani na kufanikiwa kurekodi nae wimbo uitwao ‘African Bad Girl’. “When I went back in L.A he jumped on one of my tracks..its actually a new one…its called ‘African Bad Girl’”.
Wizkid ameongeza kuwa ‘African Bad Girl’ ft. Chris Brown ndio itakuwa single ya kwanza kutoka kwenye album yake ijayo, na kuongeza kuwa kwasasa wako mbioni kufanya video ya wimbo huo pamoja na video ya wimbo mwingine ‘Show You The Money’ aliomshirikisha staa mwingine wa Marekani, Tyga.
“Big shout out to Chris Brown you know like aah he came for a show in Lagos he brought me out as a surprise, we did the same thing in Ghana you know we have just been friends since then he has been showing me love you know, when I went back in L.A he jumped on one of my tracks..its actually a new one…its called ‘African Bad Girl’. Thats actually the first single of the next album..so we just trying do that video then am shooting the video for ‘Show you the money video’ ft. Tyga as well”.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Slider
MusicView All
TechnologyView All
PicturesView All
GamesView All
Labels
Category
Ads
Text
Find Us On Facebook
Link List
Contact Form
Blogroll
Flickr Images
728x90 AdSpace
Label
FashionView All
Latest News
Popular Posts
-
It's good to be Iron Man — Robert Downey Jr. once again leads Fo...
-
Tumezoea kusikia wakati wa kufunga ndoa watu wakila kiapo kuwa watapendana hadi kifo kitakapowakuta, kia...
-
Brad Pitt and Angelina Jolie will finally tie the knot, only for a movie. According to a scoop from The Hollywoo...
-
Brad Pitt has owned a gun since he was very young. In a new interview with Radio Times to promote his new flick " Fury ", the a...
-
Channel O walitisha sana na maandalizi ya mwaka huu wa 2014 ambapo magari mbalimbali yalitumika kuwaleta mastaa mpaka kwenye stage...
-
Miley Cyrus updated her Instagram with lots of photoshopped pictures. This time, Justin Bieber 's Calvin Kl...
-
Sio Wakati Wote Ni Wa Kazi Hata Kmaa Ni Mtu Maarufu Kuna Muda Unatakiwa Kukutana Na Watu Tofauti Na Kujipa Raha kwa Nafasi Kama Unavyomuo...
-
Mwanamke mmoja aliyejulikana kwa jina moja la Asha (31) ambaye ni mke wa mtu, amejikuta akiachika katika ndoa yake baada ya kudaiwa kumuun...
-
Justin Bieber ambaye hivi sasa yuko katika kipindi cha matazamio ameripotiwa kuhatarisha maisha ya watembea kwa miguu katika eneo la Beve...
-
Will Smith , who is gearing up for his new film " Focus " with Margot Robbie , opens up about his experience in 25 y...
0 comments:
Post a Comment