Tuesday, November 11, 2014
On 12:22 AM by Unknown No comments
Katikati ni msanii wa muziki Amini akiwa na mke wake pamoja na mtu wao wa karibu
Akizungumza na waandishi wa habari katika sherehe za kuagwa na wanafunzi wenzake wa THT pamoja na uongozi wa taasisi hiyo, Amini alisema anashukuru ndoa yake imejibu na sasa mke wake ni mjamzito. “Mke wangu akijifungua salama nataka mtoto wa kiume ili aje kuwa mwanasheria, sio mwanamuziki,” alisema Amini huku akionyesha kuwa mwenye furaha.
Baada ya kauli hiyo mke wa Amini aitwaye Namcy alizungumza na Bongo5 kuhusu mafanikio aliyoyapata ndani ya ndoa yao.
Mke wa Amini, Namcy
“Inshallah mwenyezi Mungu amenijalia nimeingia kwenye ndoa hata mwaka haujaisha lakini Mungu amenijalia matunda ya ndoa yamepatikana,” alisema. ‘Siwezi kusema mimba ina miezi mingapi lakini inshallah Mungu akitujalia ndani ya mwaka huu unaweza mkasikia kitu. Siku zote watu wanasema ladies first lakini mimi nasema mume wangu awe mtu wa kwanza kuchagua nini anataka hata katika vitu vyangu ninavyotaka kufanya lazima nimshirikishe kwanza mume wangu. Ndoto yake anataka mtoto wake awe mwanasheria,” aliongeza Namcy.
Pia Namcy alisema tangu waingie kwenye ndoa yao rasmi bado hawajakutana na changamoto kubwa ya kuwayumbisha.
“Ndoa yetu ndo tunakaribia kutimiza mwaka mmoja, ninachoweza kusema mume wangu na mimi tulivyokutana nahisi yeye alikuwa ameshamaliza na mimi nimeshamaliza mambo ya ujana. Kwahiyo kulikuwa hakuna kipya ambacho yeye hakijui katika ujana na mimi sina kipya ambacho mimi sikijui katika usichana,” alisisitiza. ‘Mimi naweza kusema Amini ni mtu mwenye mapenzi, kwa sababu mwenyewe ananipenda acha ule upendo tunaosema niwa mke na mume, acha ule upendo wa kibinadamu saa nyingine ananionyesha mimi kama mkewe. Amini ni mtu anayependa kusaidia kila mtu hana ile wanasema ana roho ya korosho ni mtu safi na hana kauli chafu.”
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Slider
MusicView All
TechnologyView All
PicturesView All
GamesView All
Labels
Category
Ads
Text
Find Us On Facebook
Link List
Contact Form
Blogroll
Flickr Images
728x90 AdSpace
Label
FashionView All
Latest News
Popular Posts
-
Tumezoea kusikia wakati wa kufunga ndoa watu wakila kiapo kuwa watapendana hadi kifo kitakapowakuta, kia...
-
Nicki Minaj didn't seem to have big problems with hilarious memes appearing on the internet following the release of her...
-
Miley Cyrus updated her Instagram with lots of photoshopped pictures. This time, Justin Bieber 's Calvin Kl...
-
Mr Blue aka Kabayser ameanzisha taasisi ya ‘Micharazo Foundation’ itakayoanza kupokea wasanii wapya na pia itakuwa sehemu ya kukuza vipaj...
-
Lil Wayne ni msanii wa Hiphop lakini aliwahi kujaribu kutoa album ya rock ambayo inaitwa Rebirth yenye hit singles kama Knock Out na Porm ...
-
Kikosi Kazi cha Polisi cha Kuzuia Dawa za Kulevya nchini kimemhoji kwa zaidi ya saa 10, msanii Agnes Gerald ‘Masogange’ kuhusiana na tuhum...
-
Yemen imesema wapiganaji wa kundi la al-Qaeda wamewaua watu sita katika mapi...
-
Brad Pitt has owned a gun since he was very young. In a new interview with Radio Times to promote his new flick " Fury ", the a...
-
Mara nyingi birthday party za washkaji huwa zinasindikizwa na umwagiwaji wa maji kwa mhusika,sasa unaambiwa hii ya Shetta imekua kibok...
-
Will Smith , who is gearing up for his new film " Focus " with Margot Robbie , opens up about his experience in 25 y...
0 comments:
Post a Comment