Monday, November 3, 2014
On 12:45 AM by Unknown No comments
Muda mfupi baada ya Blac Chyna kuonekana ametweet kitu kilichowashtua watu wengi Jumapili asubuhi, kuwa yeye ni ‘gold digger’ ambaye alikuwa na Tyga kwa sababu ya pesa, Chyna alikanusha kuwa si yeye aliye tweet na kudai kuwa baba wa mwanae Tyga ame ‘hack’ akaunti yake.
Tweet hiyo ilisomeka, “I’m a gold digger and cheater. I never really loved Tyga It was always about the money”, ikafuatiwa na tweet nyingine, “After he took me out the strip club gave me a beautiful family. Help me one multiple business”.
Baada ya tweet hizo, baadae Blac Chyna alitumia akaunti yake ya Instagram kutoa taarifa kuwa akaunti yake imekuwa ‘hacked’ na Tyga. Muda mfupi baadae tweet hizo ziliondolewa.
Blac Chyna alirejea kupost twitter kuwa tayari ameirejesha akaunti yake, na kutweet kuwa asingeweza kutweet vitu kama vile. Aliongeza kuwa kwa sasa anataka kushirikiana nae (Tyga) kwenye malezi ya mwanao peke yake.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Slider
MusicView All
TechnologyView All
PicturesView All
GamesView All
Labels
Category
Ads
Text
Find Us On Facebook
Link List
Contact Form
Blogroll
Flickr Images
728x90 AdSpace
Label
FashionView All
Latest News
Popular Posts
-
Tumezoea kusikia wakati wa kufunga ndoa watu wakila kiapo kuwa watapendana hadi kifo kitakapowakuta, kia...
-
Nicki Minaj didn't seem to have big problems with hilarious memes appearing on the internet following the release of her...
-
Miley Cyrus updated her Instagram with lots of photoshopped pictures. This time, Justin Bieber 's Calvin Kl...
-
Mr Blue aka Kabayser ameanzisha taasisi ya ‘Micharazo Foundation’ itakayoanza kupokea wasanii wapya na pia itakuwa sehemu ya kukuza vipaj...
-
Lil Wayne ni msanii wa Hiphop lakini aliwahi kujaribu kutoa album ya rock ambayo inaitwa Rebirth yenye hit singles kama Knock Out na Porm ...
-
Kikosi Kazi cha Polisi cha Kuzuia Dawa za Kulevya nchini kimemhoji kwa zaidi ya saa 10, msanii Agnes Gerald ‘Masogange’ kuhusiana na tuhum...
-
Yemen imesema wapiganaji wa kundi la al-Qaeda wamewaua watu sita katika mapi...
-
Brad Pitt has owned a gun since he was very young. In a new interview with Radio Times to promote his new flick " Fury ", the a...
-
Mara nyingi birthday party za washkaji huwa zinasindikizwa na umwagiwaji wa maji kwa mhusika,sasa unaambiwa hii ya Shetta imekua kibok...
-
Will Smith , who is gearing up for his new film " Focus " with Margot Robbie , opens up about his experience in 25 y...
0 comments:
Post a Comment