Monday, November 3, 2014
On 12:45 AM by Unknown No comments
Muda mfupi baada ya Blac Chyna kuonekana ametweet kitu kilichowashtua watu wengi Jumapili asubuhi, kuwa yeye ni ‘gold digger’ ambaye alikuwa na Tyga kwa sababu ya pesa, Chyna alikanusha kuwa si yeye aliye tweet na kudai kuwa baba wa mwanae Tyga ame ‘hack’ akaunti yake.
Tweet hiyo ilisomeka, “I’m a gold digger and cheater. I never really loved Tyga It was always about the money”, ikafuatiwa na tweet nyingine, “After he took me out the strip club gave me a beautiful family. Help me one multiple business”.
Baada ya tweet hizo, baadae Blac Chyna alitumia akaunti yake ya Instagram kutoa taarifa kuwa akaunti yake imekuwa ‘hacked’ na Tyga. Muda mfupi baadae tweet hizo ziliondolewa.
Blac Chyna alirejea kupost twitter kuwa tayari ameirejesha akaunti yake, na kutweet kuwa asingeweza kutweet vitu kama vile. Aliongeza kuwa kwa sasa anataka kushirikiana nae (Tyga) kwenye malezi ya mwanao peke yake.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Slider
MusicView All
TechnologyView All
PicturesView All
GamesView All
Labels
Category
Ads
Text
Find Us On Facebook
Link List
Contact Form
Blogroll
Flickr Images
728x90 AdSpace
Label
FashionView All
Latest News
Popular Posts
-
Tumezoea kusikia wakati wa kufunga ndoa watu wakila kiapo kuwa watapendana hadi kifo kitakapowakuta, kia...
-
Nicki Minaj didn't seem to have big problems with hilarious memes appearing on the internet following the release of her...
-
Miley Cyrus updated her Instagram with lots of photoshopped pictures. This time, Justin Bieber 's Calvin Kl...
-
Mr Blue aka Kabayser ameanzisha taasisi ya ‘Micharazo Foundation’ itakayoanza kupokea wasanii wapya na pia itakuwa sehemu ya kukuza vipaj...
-
Brad Pitt has owned a gun since he was very young. In a new interview with Radio Times to promote his new flick " Fury ", the a...
-
Lil Wayne ni msanii wa Hiphop lakini aliwahi kujaribu kutoa album ya rock ambayo inaitwa Rebirth yenye hit singles kama Knock Out na Porm ...
-
Mara nyingi birthday party za washkaji huwa zinasindikizwa na umwagiwaji wa maji kwa mhusika,sasa unaambiwa hii ya Shetta imekua kibok...
-
Brad Pitt and Angelina Jolie will finally tie the knot, only for a movie. According to a scoop from The Hollywoo...
-
Amber Rose was a guest on the Breakfast Club last week , and she threw some shade towards Tyga and Kylie Jenner, alluding that the two wer...
-
Yemen imesema wapiganaji wa kundi la al-Qaeda wamewaua watu sita katika mapi...
0 comments:
Post a Comment