Thursday, November 20, 2014
On 4:25 AM by Unknown No comments
Msanii mkongwe wa Bongo fleva Dully Sykes amesema wimbo wake aliomshirikisha Maunda Zoro uliovuja hivi karibuni, ulirekodiwa miaka sita iliyopita kipindi ambacho alikuwa bado kwenye ‘foolish age’.
“Hiyo ni ngoma ambayo imevuja ni ya siku nyingi sana, kwasababu kwanza hata nilikuwa sijui ilipo wapi kwasababu ni nyimbo ya kuanzia Dhahabu Records, kabla hata sijafungfua studio nyingine.” Dully ameiambia Bongo5 .
“Mimi nimeiacha tu ivuje kwasababu siwezi hata… nyimbo kama hiyo kweli unaweza hata kuifanyia video? Siwezi, hiyo nyimbo tangia mwaka 2008,mpaka sasa hivi karibia miaka sita.”
Baada ya wimbo huo kuvuja Dully amesema unaweza kutumika sehemu zinazoweza kuruhusu nyimbo za aina hiyo (matusi), lakini ameomba usisambazwe wala kupigwa kwenye redio.
“Inaweza kupigwa club inaweza kupigwa kwenye ma pub au sehemu yoyote sio mbaya kama itasambaa kwa njia hiyo lakini sio ivuje isambae kwa njia ya media kwa radio. Kwasababu hata miaka ambayo nimerekodi hiyo pia ilikuwa miaka ya foolish age, na sasa hivi nina miaka yangu iko tofauti kabisa miaka sita mbele ina maana hata akili yenyewe imebadilika.” Alimaliza
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Slider
MusicView All
TechnologyView All
PicturesView All
GamesView All
Labels
Category
Ads
Text
Find Us On Facebook
Link List
Contact Form
Blogroll
Flickr Images
728x90 AdSpace
Label
FashionView All
Latest News
Popular Posts
-
Tumezoea kusikia wakati wa kufunga ndoa watu wakila kiapo kuwa watapendana hadi kifo kitakapowakuta, kia...
-
Nicki Minaj didn't seem to have big problems with hilarious memes appearing on the internet following the release of her...
-
Miley Cyrus updated her Instagram with lots of photoshopped pictures. This time, Justin Bieber 's Calvin Kl...
-
Mr Blue aka Kabayser ameanzisha taasisi ya ‘Micharazo Foundation’ itakayoanza kupokea wasanii wapya na pia itakuwa sehemu ya kukuza vipaj...
-
Brad Pitt has owned a gun since he was very young. In a new interview with Radio Times to promote his new flick " Fury ", the a...
-
Lil Wayne ni msanii wa Hiphop lakini aliwahi kujaribu kutoa album ya rock ambayo inaitwa Rebirth yenye hit singles kama Knock Out na Porm ...
-
Mara nyingi birthday party za washkaji huwa zinasindikizwa na umwagiwaji wa maji kwa mhusika,sasa unaambiwa hii ya Shetta imekua kibok...
-
Brad Pitt and Angelina Jolie will finally tie the knot, only for a movie. According to a scoop from The Hollywoo...
-
Amber Rose was a guest on the Breakfast Club last week , and she threw some shade towards Tyga and Kylie Jenner, alluding that the two wer...
-
Yemen imesema wapiganaji wa kundi la al-Qaeda wamewaua watu sita katika mapi...
0 comments:
Post a Comment