Thursday, November 20, 2014
On 4:25 AM by Unknown No comments
Msanii mkongwe wa Bongo fleva Dully Sykes amesema wimbo wake aliomshirikisha Maunda Zoro uliovuja hivi karibuni, ulirekodiwa miaka sita iliyopita kipindi ambacho alikuwa bado kwenye ‘foolish age’.
“Hiyo ni ngoma ambayo imevuja ni ya siku nyingi sana, kwasababu kwanza hata nilikuwa sijui ilipo wapi kwasababu ni nyimbo ya kuanzia Dhahabu Records, kabla hata sijafungfua studio nyingine.” Dully ameiambia Bongo5 .
“Mimi nimeiacha tu ivuje kwasababu siwezi hata… nyimbo kama hiyo kweli unaweza hata kuifanyia video? Siwezi, hiyo nyimbo tangia mwaka 2008,mpaka sasa hivi karibia miaka sita.”
Baada ya wimbo huo kuvuja Dully amesema unaweza kutumika sehemu zinazoweza kuruhusu nyimbo za aina hiyo (matusi), lakini ameomba usisambazwe wala kupigwa kwenye redio.
“Inaweza kupigwa club inaweza kupigwa kwenye ma pub au sehemu yoyote sio mbaya kama itasambaa kwa njia hiyo lakini sio ivuje isambae kwa njia ya media kwa radio. Kwasababu hata miaka ambayo nimerekodi hiyo pia ilikuwa miaka ya foolish age, na sasa hivi nina miaka yangu iko tofauti kabisa miaka sita mbele ina maana hata akili yenyewe imebadilika.” Alimaliza
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Slider
MusicView All
TechnologyView All
PicturesView All
GamesView All
Labels
Category
Ads
Text
Find Us On Facebook
Link List
Contact Form
Blogroll
Flickr Images
728x90 AdSpace
Label
FashionView All
Latest News
Popular Posts
-
It's good to be Iron Man — Robert Downey Jr. once again leads Fo...
-
Tumezoea kusikia wakati wa kufunga ndoa watu wakila kiapo kuwa watapendana hadi kifo kitakapowakuta, kia...
-
Arnold Schwarzenegger was born and raised in Austria. But The Expendables 3 star looked like a true American as he left Cafe Roma in Beverly...
-
Brad Pitt and Angelina Jolie will finally tie the knot, only for a movie. According to a scoop from The Hollywoo...
-
Lil Wayne ni msanii wa Hiphop lakini aliwahi kujaribu kutoa album ya rock ambayo inaitwa Rebirth yenye hit singles kama Knock Out na Porm ...
-
ITALIA imeaga Kombe la Dunia nchini Brazil baada ya kufungwa 1-0 na Uruguay, bao pekee la Diego Godin katika mchezo ambao mshambuliaji Luis ...
-
Baada ya habari za ndege ya Malaysia airline hivi sasa ajali nyingine imetoka karibu kabisa na Tanzania ambapo ni nchini Uganda. Ndege hiy...
-
Mwaka huu Psquare hawataki mchezo na mtuu baada ya kuachia nyimbo tatu kwa mpigo ikiwemo sapraiz ya nguvu ya video yao mpya inayoitwa Ej...
-
Brad Pitt has owned a gun since he was very young. In a new interview with Radio Times to promote his new flick " Fury ", the a...
0 comments:
Post a Comment