Wednesday, November 5, 2014
On 4:39 AM by Unknown No comments
Rapper Gosby leo anaachia ngoma mpya kupitia utaratibu wake wa kutoa wimbo kila Jumatano.
Wimbo huo utakaopatikana kwenye mixtape yake, Miss Tape, unaitwa ‘Wema Sepetu’. Ngoma hiyo imerekodiwa ndani ya studio za Feel Good Music na imetengenezwa kwa ushirikiano wa producers wawili, Jeffrey kutoka Marekani kwa upande wa midundo na Cjamoker kutoka Tanzania kwa upande wa recording, Mixing and Mastering.Gosby amesema ameamua kushirikisha producers wa nje na wa ndani ya nchi ili kuongeza ladha kwenye muziki wake na vilevile kupata uzoefu wa kufanya kazi na watayarishaji tofauti.
“Muziki wetu unakuwa kwa kasi kubwa, na kama mnavyojua kuwepo kwa mitandao mbalimbali ya kusambaza kazi zetu online inarahisisha sana kazi zetu kufika popote dunia, nadhani ni wakati muafaka sasa tukianza kuangalia soko hili kwa upana zaidi, kuwa na ladha ya bongo na vilevile kuweka ladha ya kimataifa pia,” amesema.
Akiongelea kuhusu wimbo huo Gosby anasema:
“Wema Sepetu, dah sijui nianzie wapi ili iwe rahisi kueleweka, anyways.. Wote tunamjua Wema au tumewahi kusikia au kusoma habari kuhusu Wema, ni former Miss Tanzania, movie star, celebrity wa kike ambao anapendwa sana na watu ndani na nje ya Tanzania. Wanawake wengi wanatamani kuwa Wema Sepetu kwa ujumla au sehemu tu, na huu wimbo umeongelea juu ya msichana au mtoto wa kike ambaye anafanana na Wema Sepetu
Sasa wimbo huu ni special kwa wasichana wote ambao wanaofanana na WEMA SEPETU ngoja nisimalize utamu, tega sikio mchana huu.”
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Slider
MusicView All
TechnologyView All
PicturesView All
GamesView All
Labels
Category
Ads
Text
Find Us On Facebook
Link List
Contact Form
Blogroll
Flickr Images
728x90 AdSpace
Label
FashionView All
Latest News
Popular Posts
-
Tumezoea kusikia wakati wa kufunga ndoa watu wakila kiapo kuwa watapendana hadi kifo kitakapowakuta, kia...
-
Nicki Minaj didn't seem to have big problems with hilarious memes appearing on the internet following the release of her...
-
Miley Cyrus updated her Instagram with lots of photoshopped pictures. This time, Justin Bieber 's Calvin Kl...
-
Mr Blue aka Kabayser ameanzisha taasisi ya ‘Micharazo Foundation’ itakayoanza kupokea wasanii wapya na pia itakuwa sehemu ya kukuza vipaj...
-
Brad Pitt has owned a gun since he was very young. In a new interview with Radio Times to promote his new flick " Fury ", the a...
-
Lil Wayne ni msanii wa Hiphop lakini aliwahi kujaribu kutoa album ya rock ambayo inaitwa Rebirth yenye hit singles kama Knock Out na Porm ...
-
Mara nyingi birthday party za washkaji huwa zinasindikizwa na umwagiwaji wa maji kwa mhusika,sasa unaambiwa hii ya Shetta imekua kibok...
-
Brad Pitt and Angelina Jolie will finally tie the knot, only for a movie. According to a scoop from The Hollywoo...
-
Amber Rose was a guest on the Breakfast Club last week , and she threw some shade towards Tyga and Kylie Jenner, alluding that the two wer...
-
Yemen imesema wapiganaji wa kundi la al-Qaeda wamewaua watu sita katika mapi...
0 comments:
Post a Comment