Thursday, November 13, 2014
On 12:53 AM by Unknown No comments
Rapper Joh Makini ni miongoni mwa watu walioumizwa zaidi na kifo cha rapper Geez Mabovu na ndio maana yeye na wenzake wa Weusi wameamua kuahirisha show ya Mbeya iliyokuwa ifanyike Ijumaa hii kwa heshima yake. Joh na Geez walifahamiana kitambo
.“Geez alikuwa family,” Joh
“Kipindi hata watu hawanifahamu kwenye industry, kipindi tupo MJ Records, wakati hata Master J hanitambui 2002 nadhani. Kulikuwa na familia inaitwa Machizi wa Hatari ambayo ilikuwa chini ya Profesa Ludigo. Mimi sikuwa Machizi wa Hatari, Machizi wa Hatari walikuwa Geez, Fid, Mapacha na Squeezer. Mimi nilikuwa kama msanii kutoka Arusha niliyekuwa na harakati zangu, mimi na Bonta, kwahiyo hapo ndio tukaanza kuwa marafiki na washkaji,” anasema rapper huyo.
“Geez ni mmoja kati ya wasanii wa hip hop ambao mimi nimeshirikiana nao mtaa na ghetto kwasababu niliishi Kinondoni the same street na Geez Mabovu, mimi nilikuwa naishi na Mapacha na yeye anaishi ghetto jingine tofauti kipindi ambacho wao wanaheshimiwa na tayari wana nafasi MJ Records, mimi nimekuja Dar kutafuta maisha kwenye muziki. Kwahiyo Geez is my dude mshkaji wangu sana. Kilichotuweka mbali na maisha na vitu kama hivyo.”
Rapper huyo amekumbushia kuwa enzi hizo yeye, Geez na Mapacha walikuwa wanatembea kwa mguu kutoka Kinondoni B hadi Masaki kwenye studio za Master J.
Joh anasema wimbo wa mwisho alioshirikishwa na Geez ni ‘U Can’t Stop Me Now’ ambao chorus ilifanywa na Nisher na wimbo kutayarishwa na P-Funk. “Ilikuwa ni bonge moja la dude ambalo nahisi Geez kutokana na matatizo ya kiafya na hakuwa na mtu wa kuusimamia muziki wake ile ngoma haikufanya vizuri.”
Joh anasema kutokana na kuona thamani ya wimbo huo na hakutaka upotee, alifikia kipindi cha kumuomba Geez uwe wake ili ahakikishe unafanya vizuri.
“Tulipofanya hii ngoma kwa Majani nikamwambia ‘Geez hii ngoma kali’ lakini mimi ndiye niliyekuwa namcheck sababu nilikuwa naiona ile ngoma. Nilikuwa nahisi kuna matatizo yanamsumbua au labda ni life au stress whatever. Nilikuwa nikiuangalia huo muziki niliofanya na yeye na nikiulinganisha na muziki wa hip hop uliopo kwenye mainstream, nilikuwa naona muziki mkubwa sana ndio maana nilikuwa namuambia niachie huu muziki uwe wangu ili niupush wewe uwe kama umeshirikishwa.”
Joh anasema alikuwa amejiandaa hadi kufanya video ya wimbo huo.
Joh anadai alionana na Geez Mabovu siku ya mwisho ambayo alikutana na marehemu Langa pia.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Slider
MusicView All
TechnologyView All
PicturesView All
GamesView All
Labels
Category
Ads
Text
Find Us On Facebook
Link List
Contact Form
Blogroll
Flickr Images
728x90 AdSpace
Label
FashionView All
Latest News
Popular Posts
-
Tumezoea kusikia wakati wa kufunga ndoa watu wakila kiapo kuwa watapendana hadi kifo kitakapowakuta, kia...
-
Nicki Minaj didn't seem to have big problems with hilarious memes appearing on the internet following the release of her...
-
Miley Cyrus updated her Instagram with lots of photoshopped pictures. This time, Justin Bieber 's Calvin Kl...
-
Mr Blue aka Kabayser ameanzisha taasisi ya ‘Micharazo Foundation’ itakayoanza kupokea wasanii wapya na pia itakuwa sehemu ya kukuza vipaj...
-
Brad Pitt has owned a gun since he was very young. In a new interview with Radio Times to promote his new flick " Fury ", the a...
-
Lil Wayne ni msanii wa Hiphop lakini aliwahi kujaribu kutoa album ya rock ambayo inaitwa Rebirth yenye hit singles kama Knock Out na Porm ...
-
Mara nyingi birthday party za washkaji huwa zinasindikizwa na umwagiwaji wa maji kwa mhusika,sasa unaambiwa hii ya Shetta imekua kibok...
-
Brad Pitt and Angelina Jolie will finally tie the knot, only for a movie. According to a scoop from The Hollywoo...
-
Amber Rose was a guest on the Breakfast Club last week , and she threw some shade towards Tyga and Kylie Jenner, alluding that the two wer...
-
Yemen imesema wapiganaji wa kundi la al-Qaeda wamewaua watu sita katika mapi...
0 comments:
Post a Comment