Wednesday, November 12, 2014
On 5:48 AM by Unknown No comments
Msanii wa muziki Linex Sunday Mjeda amefunguka kwa kusema kuwa anafunga mwaka kwa kutoa wimbo ‘Salima’ ambao amemshirikia Diamond.
Akizungumza na Bongo 5 leo, Linex amesema audio ipo tayari na wanachomalizia sasa hivi ni maandalizi ya video ambayo wanafanya na Adam Juma.
“Kabla mwaka haujaisha inabidi tufunge mwaka na wimbo ambao nimefanya mimi na Diamond ambao umeshalipiwa video, sema sasa imeshindwa kumalizika ndani ya muda kwa sababu kila mmoja anakuwa kwenye mihangaiko yake, kwahiyo wimbo unaitwa Salima amefanya Tuddy Thomas na videoa atafanya Adam Juma,” alisema Linex.
Katika hatua nyingine Linex ametoa deal kwa msichana yoyote ambae anaweza akawa model ndani ya video hiyo mpya.
“Tunahitaji msichana wa mjini ambaye anaweza akabadilika na kwenda kwenye mwonekano wa kijijini, ni msichana wa mjini lakini tumbadilishe awe kwenye mwonekano wa kijijini, ndiyo maana tumekwambia tunamtafuta.”
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Slider
MusicView All
TechnologyView All
PicturesView All
GamesView All
Labels
Category
Ads
Text
Find Us On Facebook
Link List
Contact Form
Blogroll
Flickr Images
728x90 AdSpace
Label
FashionView All
Latest News
Popular Posts
-
Tumezoea kusikia wakati wa kufunga ndoa watu wakila kiapo kuwa watapendana hadi kifo kitakapowakuta, kia...
-
Nicki Minaj didn't seem to have big problems with hilarious memes appearing on the internet following the release of her...
-
Miley Cyrus updated her Instagram with lots of photoshopped pictures. This time, Justin Bieber 's Calvin Kl...
-
Mr Blue aka Kabayser ameanzisha taasisi ya ‘Micharazo Foundation’ itakayoanza kupokea wasanii wapya na pia itakuwa sehemu ya kukuza vipaj...
-
Brad Pitt has owned a gun since he was very young. In a new interview with Radio Times to promote his new flick " Fury ", the a...
-
Lil Wayne ni msanii wa Hiphop lakini aliwahi kujaribu kutoa album ya rock ambayo inaitwa Rebirth yenye hit singles kama Knock Out na Porm ...
-
Mara nyingi birthday party za washkaji huwa zinasindikizwa na umwagiwaji wa maji kwa mhusika,sasa unaambiwa hii ya Shetta imekua kibok...
-
Brad Pitt and Angelina Jolie will finally tie the knot, only for a movie. According to a scoop from The Hollywoo...
-
Amber Rose was a guest on the Breakfast Club last week , and she threw some shade towards Tyga and Kylie Jenner, alluding that the two wer...
-
Yemen imesema wapiganaji wa kundi la al-Qaeda wamewaua watu sita katika mapi...
0 comments:
Post a Comment