Monday, November 10, 2014
On 3:16 AM by Unknown No comments
Diamond Platnumz na mfanyabiashara mrembo na muimbaji wa Uganda, Zari the Boss Lady hawakuishia kusafiri tu kwenye ndege na siti moja kutoka Afrika Kusini. Ukweli ni kuwa walikuwa wamepanga kukutana.
Ni movie inaendelea? Diamond na Zari
Picha za wawili hao wakiwa nje ya hoteli ya Double Tree jijini Dar zinawaonesha wakifurahia muda wa faragha pamoja kama wapenzi vile.
Maswali yanayozunguka kwenye vichwa vya wengi ni je wawili hao ni item tayari au ni movie inaendelea kama apendavyo kusema hitmaker huyo wa Number 1?
Tayari mashabiki wameanza kuhusi kuwa kuna uhusiano mpya uliozaliwa kati ya mastaa hao ambapo katika picha moja Zari aliandika: Don’t live your life enslaved by guilt. You must do what is right for you, even if other ppl have a problem with it. #Diamonds #MummyFabulousSelf.” Wengi walihitimisha kuwa amemaanisha bae wake huyo mpya na hivyo kumlazimu kufafanua: For fucks sake I meant #Diamonds as in my stones 💍💍💎💎… Y’all african people be tripping #IdleMinds.”
“Awwwwwwwwwwwww kila la kheri @diamondplatnumz follow what your heart say n you have to live your life wish you all the best with your new bae if it is true @zarithebosslady,” ameandika mtu mmoja.
Hata hivyo baada ya maswali mengi, Zari aliamua kufumbua fumbo kwa kupost picha hiyo chini.
Zari aliandika: Thank you @diamondplatnumz for this opportunity. Africa get ready for our new project #uganda #Tanzania
Hizi ni baadhi ya picha zao wakiwa JNIA.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Slider
MusicView All
TechnologyView All
PicturesView All
GamesView All
Labels
Category
Ads
Text
Find Us On Facebook
Link List
Contact Form
Blogroll
Flickr Images
728x90 AdSpace
Label
FashionView All
Latest News
Popular Posts
-
Tumezoea kusikia wakati wa kufunga ndoa watu wakila kiapo kuwa watapendana hadi kifo kitakapowakuta, kia...
-
Nicki Minaj didn't seem to have big problems with hilarious memes appearing on the internet following the release of her...
-
Miley Cyrus updated her Instagram with lots of photoshopped pictures. This time, Justin Bieber 's Calvin Kl...
-
Mr Blue aka Kabayser ameanzisha taasisi ya ‘Micharazo Foundation’ itakayoanza kupokea wasanii wapya na pia itakuwa sehemu ya kukuza vipaj...
-
Brad Pitt has owned a gun since he was very young. In a new interview with Radio Times to promote his new flick " Fury ", the a...
-
Lil Wayne ni msanii wa Hiphop lakini aliwahi kujaribu kutoa album ya rock ambayo inaitwa Rebirth yenye hit singles kama Knock Out na Porm ...
-
Mara nyingi birthday party za washkaji huwa zinasindikizwa na umwagiwaji wa maji kwa mhusika,sasa unaambiwa hii ya Shetta imekua kibok...
-
Brad Pitt and Angelina Jolie will finally tie the knot, only for a movie. According to a scoop from The Hollywoo...
-
Amber Rose was a guest on the Breakfast Club last week , and she threw some shade towards Tyga and Kylie Jenner, alluding that the two wer...
-
Yemen imesema wapiganaji wa kundi la al-Qaeda wamewaua watu sita katika mapi...
0 comments:
Post a Comment