Tuesday, December 2, 2014
On 2:29 AM by Unknown No comments
Baada ya kimya cha miezi kadhaa, B’Hits Music Group inarejea tena na sasa ikiwa na wasanii wapya watatu.
Producer wa B’Hits, Pancho Latino akiwa na msanii mpya, Kim
CEO wa B’Hits, Hermy B, ameiambia Bongo5 kuwa kwa muda wote waliokuwa kimya walikuwa busy kutengeneza kazi mpya ambazo umefika muda wa kuanza kuziachia. Hermy amesema tayari wamechukua wasanii wapya watakaokuwa chini ya label hiyo.
“Kwa muda wote ambao tuliokuwa kimya nahisi watu walikuwa wanahisi labda sisi hatufanyi kazi, lakini muda wote ambao tumekuwa kimya tumekuwa tukifanya kazi,” amesema Hermy.
“Katika kufanya kazi, pia tumekusanya wasanii wengine ambao tunafanya nao kazi, ukimjulisha na kundi la District 9 ambao tulisema wanakuja, nao walikuwa studio muda wote huo kila mtu amekuwa akitengeneza muziki wake, album yake. Kwakuwa imekuwa ni process ya creation, process ya innovation na process pia ya kuanalyse tulipotoka na wapi tunataka kwenda.”
Hermy amesema hadi sasa wameshachukua wasanii watatu wa kuanzia japo mipango ya kuongeza wasanii wengine siku za usoni ipo. “Mmoja ambaye tumeanza kumtoa ni Kim. Kim ndio tumeamua kutoa wimbo wake ambao ameshirikiana na Godzilla, unaitwa ‘Hell Yeah’
Hermy amesema mashabiki wa muziki wategemee mabadiliko makubwa kutoka B’Hits.
“Basically watu wategemee talent nzuri, creation ya vitu tofauti tofauti. Muziki wetu hautasound kama vile watu wamekuwa wakizoea zamani B’Hits. Na ukisikia hiyo nyimbo ambayo tumetoa sasa hivi tayari utakuwa umesikia utofauti kuanzia kwenye creation ya sound yenyewe mpaka kwenye quality ya sound yenyewe. So tumekaa upande wa kuhakikisha kuwa creativity iko sawa, innovation iko sawa na talent ipo juu,” ameongeza Hermy.
Isikilize hapo chini ngoma ya Kim akimshirikisha Godzilla.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Slider
MusicView All
TechnologyView All
PicturesView All
GamesView All
Labels
Category
Ads
Text
Find Us On Facebook
Link List
Contact Form
Blogroll
Flickr Images
728x90 AdSpace
Label
FashionView All
Latest News
Popular Posts
-
It's good to be Iron Man — Robert Downey Jr. once again leads Fo...
-
Tumezoea kusikia wakati wa kufunga ndoa watu wakila kiapo kuwa watapendana hadi kifo kitakapowakuta, kia...
-
Arnold Schwarzenegger was born and raised in Austria. But The Expendables 3 star looked like a true American as he left Cafe Roma in Beverly...
-
Brad Pitt and Angelina Jolie will finally tie the knot, only for a movie. According to a scoop from The Hollywoo...
-
Lil Wayne ni msanii wa Hiphop lakini aliwahi kujaribu kutoa album ya rock ambayo inaitwa Rebirth yenye hit singles kama Knock Out na Porm ...
-
ITALIA imeaga Kombe la Dunia nchini Brazil baada ya kufungwa 1-0 na Uruguay, bao pekee la Diego Godin katika mchezo ambao mshambuliaji Luis ...
-
Baada ya habari za ndege ya Malaysia airline hivi sasa ajali nyingine imetoka karibu kabisa na Tanzania ambapo ni nchini Uganda. Ndege hiy...
-
Mwaka huu Psquare hawataki mchezo na mtuu baada ya kuachia nyimbo tatu kwa mpigo ikiwemo sapraiz ya nguvu ya video yao mpya inayoitwa Ej...
-
Brad Pitt has owned a gun since he was very young. In a new interview with Radio Times to promote his new flick " Fury ", the a...
0 comments:
Post a Comment