Thursday, December 18, 2014
On 3:47 AM by Unknown No comments
Sikukuu ya Christmas haiko mbali sana, wapo wanaotoa zawadi na wapo wanaopokea pia katika kipindi hiki.
Tajiri, Rapper mkongwe kutoka Marekani ambaye ni juzi tu Dunia nzima imeambiwa na jarida la Forbes kwamba kile kiasi cha pesa alichozalisha Hiphop Mogul huyo kimemfanya namba moja, sio Marekani bali Duniani, sio kupitia show za muziki ila ‘Beats by Dre’ ikidhihirisha kwamba ni biashara nzuri kwa upande wake.
Dr. Dre ametoa zawadi kibao, hazijatajwa lakini juu ya zawadi hiyo kuna fungu la kama dola 10,000 kwa kila mtu ambaye ni mfanyakazi wa kampuni ambayo inasimamia masuala yake ya Kisheria.
Sio wanasheria na wasaidizi wao, unaambiwa zawadi hii imemkuta kila mtu ndani ya kampuni hiyo.
Hiyo ni bonus kwa kazi yao nzuri, bado hana hasara.
Umetoa ama kupokea zawadi yoyote Christmas hii?
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Slider
MusicView All
TechnologyView All
PicturesView All
GamesView All
Labels
Category
Ads
Text
Find Us On Facebook
Link List
Contact Form
Blogroll
Flickr Images
728x90 AdSpace
Label
FashionView All
Latest News
Popular Posts
-
Tumezoea kusikia wakati wa kufunga ndoa watu wakila kiapo kuwa watapendana hadi kifo kitakapowakuta, kia...
-
Nicki Minaj didn't seem to have big problems with hilarious memes appearing on the internet following the release of her...
-
Miley Cyrus updated her Instagram with lots of photoshopped pictures. This time, Justin Bieber 's Calvin Kl...
-
Mr Blue aka Kabayser ameanzisha taasisi ya ‘Micharazo Foundation’ itakayoanza kupokea wasanii wapya na pia itakuwa sehemu ya kukuza vipaj...
-
Lil Wayne ni msanii wa Hiphop lakini aliwahi kujaribu kutoa album ya rock ambayo inaitwa Rebirth yenye hit singles kama Knock Out na Porm ...
-
Kikosi Kazi cha Polisi cha Kuzuia Dawa za Kulevya nchini kimemhoji kwa zaidi ya saa 10, msanii Agnes Gerald ‘Masogange’ kuhusiana na tuhum...
-
Will Smith , who is gearing up for his new film " Focus " with Margot Robbie , opens up about his experience in 25 y...
-
Richard Linklater's 12-year experiment " Boyhood " has garnered positive reviews from critics and it just added a famous name ...
-
Snoop Dogg has put a big fat target on a guy who's now being gay bashed, and the guy is now preparing a lawsuit against Mr. D. Cortez ...
-
Amber Rose was a guest on the Breakfast Club last week , and she threw some shade towards Tyga and Kylie Jenner, alluding that the two wer...
0 comments:
Post a Comment