Thursday, December 4, 2014
On 5:09 AM by Unknown No comments
Filamu mpya ya James Bond inaitwa Spectre. Jina hilo limetangazwa Alhamis hii kwenye studio za Pinewood jijini London.
Daniel Craig ataigiza kama 007 kwa mara nyingine tena
Daniel Craig ataendeleza uhusika wake kama 007 kwenye muendelezo wa 24 wa filamu hiyo itakayoongozwa na Sam Mendes aliyeongoza iliyopita, Skyfall.
Wengine wanaorejea ni Naomi Harris kama Moneypenny, Ralph Fiennes kama M, na Ben Whishaw kama Q. Skyfall iliyokuwa filamu iliyouza zaidi nchini Uingereza, iliingiza dola bilioni 1.1 kwenye majumba ya sinema.
Bond girls: Monica Belluci, kushoto na Lea Seydoux, kulia, walitangazwa kama waigizaji wapywe kwenye filamu hiyo
The name was revealed during a livestreamed announcement event, where director Sam Mendes also revealed the new car (Aston Martin DB10) and full cast. New members include Andrew Scott (who played Moriarty on BBC's Sherlock and will star as Denbigh here), Christoph Waltz (playing a character named Oberhauser — not, as previously rumored, classic villain Blofeld), Dave Bautista, Monica Bellucci, and Léa Seydoux.
Shooting locations for the new movie, which begins production tomorrow, include Pinewood London, Mexico City, Rome, Tangier & Erfoud, Morocco, Sölden, Obertilliach, and Lake Altaussee, Austria.
2012's Skyfall, released 50 years after the first Bond movie, is the most successful movie of the franchise with over $1.1 billion in worldwide gross receipts (which also makes it the 9th highest-grossing film of all time worldwide).
Skyfall's director (Sam Mendes) and screenwriters (John Logan, Neal Purvis, and Robert Wade) have all returned for the new film, as has Daniel Craig in the titular role. According to Mendes, in a Charlie Rose interview from earlier this year, Bond 24 (as it was then called) won't be a direct sequel to Skyfall but will live in the same world — meaning we'll be seeing more of Ralph Fiennes, Naomie Harris, Rory Kinnear, and Ben Whishaw.
Earlier this year, French actress Léa Seydoux (Blue is the Warmest Colour) was confirmed as the new Bond girl, while Christoph Waltz had been cast in an unspecified role (then rumored to be longtime Bond nemesis Ernst Stavro Blofeld). Guardians of the Galaxy's Dave Bautista had been strongly rumored (now confirmed) for the role of Hinx, a henchman that will no doubt laugh every time Bond tries to punch him, before succumbing to Bond's wily antics and use of environmental objects late in the film.
Spectre will hit theaters November 6th, 2015.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Slider
MusicView All
TechnologyView All
PicturesView All
GamesView All
Labels
Category
Ads
Text
Find Us On Facebook
Link List
Contact Form
Blogroll
Flickr Images
728x90 AdSpace
Label
FashionView All
Latest News
Popular Posts
-
It's good to be Iron Man — Robert Downey Jr. once again leads Fo...
-
Tumezoea kusikia wakati wa kufunga ndoa watu wakila kiapo kuwa watapendana hadi kifo kitakapowakuta, kia...
-
Brad Pitt and Angelina Jolie will finally tie the knot, only for a movie. According to a scoop from The Hollywoo...
-
Channel O walitisha sana na maandalizi ya mwaka huu wa 2014 ambapo magari mbalimbali yalitumika kuwaleta mastaa mpaka kwenye stage...
-
Brad Pitt has owned a gun since he was very young. In a new interview with Radio Times to promote his new flick " Fury ", the a...
-
Will Smith , who is gearing up for his new film " Focus " with Margot Robbie , opens up about his experience in 25 y...
-
Miley Cyrus updated her Instagram with lots of photoshopped pictures. This time, Justin Bieber 's Calvin Kl...
-
Sio Wakati Wote Ni Wa Kazi Hata Kmaa Ni Mtu Maarufu Kuna Muda Unatakiwa Kukutana Na Watu Tofauti Na Kujipa Raha kwa Nafasi Kama Unavyomuo...
-
Mwanamke mmoja aliyejulikana kwa jina moja la Asha (31) ambaye ni mke wa mtu, amejikuta akiachika katika ndoa yake baada ya kudaiwa kumuun...
-
Justin Bieber ambaye hivi sasa yuko katika kipindi cha matazamio ameripotiwa kuhatarisha maisha ya watembea kwa miguu katika eneo la Beve...
0 comments:
Post a Comment