Thursday, December 18, 2014
On 2:58 AM by Unknown No comments
Kampuni ya Sony Pictures Entertainment imesitisha kutoa filamu yake ya komedi, The Interview ambayo inazungumzia mkasa wa kutunga unaohusu mpango wa kumuua kiongozi wa Korea Kaskazini, Kim Jong-un.
Kampuni hiyo ilikuwa ifanye uzinduzi wa filamu hiyo siku ya Christmas lakini hackers walitishia kufanya shambulizi kama la 9/11 kwenye majumba ya sinema ambayo yangeionesha nchini Marekani.
Serikali ya Marekani jana ilithibitisha kuwa Korea Kaskazini imehusika kwenye udukuzi huo ulioshuhudia kuvuja kwa emails za ndani na za siri kutoka Sony katika wiki mbili zilizopita.
Wapelelezi wa Marekani wamebaini kuwa udukuzi huo dhidi ya mifumo ya Sony ni kazi ya watu wanaofanya kazi kwa niaba ya serikali ya Korea Kaskazini. ‘Sony Pictures haina mpango wa kuitoa tena filamu hiyo,” msemaji wake alisema jana. Utengenezaji wa filamu hiyo umegharimu dola milioni 42.
Serikali ya Marekani inatarajia kutoa tamko kuhusiana na suala hilo leo na kuamua kama ichukue uamuzi wa kuishutumu rasmi Korea Kaskazini kwa kufanya shambulio la kigaidi ama la.
Kwenye mahojiano aliyofanyiwa na kituo ABC jana, Rais Barack Obama alisema watu wanaweza kuendelea kwenda kwenye majumba ya sinema lakini akasisitiza kuwa vitisho hiyo ni ‘serious’.
Watu wengi huko Hollywood wamechukizwa na hatua hiyo ya kuisitisha filamu hiyo na wametumua Twitter kuelezea hasira yao.
Bofya hapa kusoma mkasa mzima wa udukuzi (hacking) kwenye computer za Sony.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Slider
MusicView All
TechnologyView All
PicturesView All
GamesView All
Labels
Category
Ads
Text
Find Us On Facebook
Link List
Contact Form
Blogroll
Flickr Images
728x90 AdSpace
Label
FashionView All
Latest News
Popular Posts
-
Tumezoea kusikia wakati wa kufunga ndoa watu wakila kiapo kuwa watapendana hadi kifo kitakapowakuta, kia...
-
Nicki Minaj didn't seem to have big problems with hilarious memes appearing on the internet following the release of her...
-
Miley Cyrus updated her Instagram with lots of photoshopped pictures. This time, Justin Bieber 's Calvin Kl...
-
Mr Blue aka Kabayser ameanzisha taasisi ya ‘Micharazo Foundation’ itakayoanza kupokea wasanii wapya na pia itakuwa sehemu ya kukuza vipaj...
-
Lil Wayne ni msanii wa Hiphop lakini aliwahi kujaribu kutoa album ya rock ambayo inaitwa Rebirth yenye hit singles kama Knock Out na Porm ...
-
Kikosi Kazi cha Polisi cha Kuzuia Dawa za Kulevya nchini kimemhoji kwa zaidi ya saa 10, msanii Agnes Gerald ‘Masogange’ kuhusiana na tuhum...
-
Will Smith , who is gearing up for his new film " Focus " with Margot Robbie , opens up about his experience in 25 y...
-
Richard Linklater's 12-year experiment " Boyhood " has garnered positive reviews from critics and it just added a famous name ...
-
Snoop Dogg has put a big fat target on a guy who's now being gay bashed, and the guy is now preparing a lawsuit against Mr. D. Cortez ...
-
Amber Rose was a guest on the Breakfast Club last week , and she threw some shade towards Tyga and Kylie Jenner, alluding that the two wer...
0 comments:
Post a Comment