Wednesday, January 21, 2015
On 12:17 AM by Unknown No comments
Mwimbaji wa R&B, August Alsina ataungana na Chris Brown kwenye ziara yake “X Live Tour” nchini Afrika Kusini mwezi April mwaka huu.
Taarifa ya Breezy kwenda nchini Afrika Kusini kutumbuiza ikiwa ni mara yake ya pili, ilitangwazwa mwishoni mwa mwaka jana.
Alsina ameshirikiana na Brown kwenye remix ya wimbo wake “I Luv This Sh*t” ambao waliutumbuiza pamoja kwa mara ya kwanza kwenye tuzo za 2014 BET wakiwa na Trey Songz.
Breezy na timu yake wanatarajiwa kufanya show mbili nchini humo. Ya kwanza ikiwa ni April 2 jijini Johannesburg, ikifuatiwa na Durban, April 4.
Show hizo ni sehemu ya ziara ya album ya X ya Chris Brown ambayo atazunguka katika nchi mbalimbali.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Slider
MusicView All
TechnologyView All
PicturesView All
GamesView All
Labels
Category
Ads
Text
Find Us On Facebook
Link List
Contact Form
Blogroll
Flickr Images
728x90 AdSpace
Label
FashionView All
Latest News
Popular Posts
-
Tumezoea kusikia wakati wa kufunga ndoa watu wakila kiapo kuwa watapendana hadi kifo kitakapowakuta, kia...
-
Nicki Minaj didn't seem to have big problems with hilarious memes appearing on the internet following the release of her...
-
Miley Cyrus updated her Instagram with lots of photoshopped pictures. This time, Justin Bieber 's Calvin Kl...
-
Mr Blue aka Kabayser ameanzisha taasisi ya ‘Micharazo Foundation’ itakayoanza kupokea wasanii wapya na pia itakuwa sehemu ya kukuza vipaj...
-
Lil Wayne ni msanii wa Hiphop lakini aliwahi kujaribu kutoa album ya rock ambayo inaitwa Rebirth yenye hit singles kama Knock Out na Porm ...
-
Kikosi Kazi cha Polisi cha Kuzuia Dawa za Kulevya nchini kimemhoji kwa zaidi ya saa 10, msanii Agnes Gerald ‘Masogange’ kuhusiana na tuhum...
-
Yemen imesema wapiganaji wa kundi la al-Qaeda wamewaua watu sita katika mapi...
-
Brad Pitt has owned a gun since he was very young. In a new interview with Radio Times to promote his new flick " Fury ", the a...
-
Mara nyingi birthday party za washkaji huwa zinasindikizwa na umwagiwaji wa maji kwa mhusika,sasa unaambiwa hii ya Shetta imekua kibok...
-
Will Smith , who is gearing up for his new film " Focus " with Margot Robbie , opens up about his experience in 25 y...
0 comments:
Post a Comment