Wednesday, February 11, 2015
On 4:22 AM by Unknown No comments
Baada ya kupita siku kumi toka mtoto wa Bobby Brown na Whitney Huston ‘Bobbi Kristina’ akutwe amepoteza fahamu bafuni huku uso wake ukiwa ndani ya maji, mpaka sasa hali yake sio nzuri na kwamba amekuwa akipumulia mashine kwa muda wote huu. Bobbi alipelekwa kwenye hospitali ya Emory University huko Atlanta, Marekani ambapo madaktari walisema kuwa hakuna kitu wanachoweza kufanya ili arudi kwenye hali yake ya kawaida.
Familia ya Bobbi na madaktari wake wamesema pande zote zimekubaliana kuondolewa kwa mashine za kupumulia tarehe 11 Feb 2015 siku ambayo mama yake mzazi Whitney Houston alifariki dunia kwenye mazingira hayo ya kuanguka bafuni na kupoteza maisha kama mtoto wake.
Endelea kutembelea fradohmusic.blogspot.com kwa habari za burudani na michezo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Slider
MusicView All
TechnologyView All
PicturesView All
GamesView All
Labels
Category
Ads
Text
Find Us On Facebook
Link List
Contact Form
Blogroll
Flickr Images
728x90 AdSpace
Label
FashionView All
Latest News
Popular Posts
-
Tumezoea kusikia wakati wa kufunga ndoa watu wakila kiapo kuwa watapendana hadi kifo kitakapowakuta, kia...
-
Nicki Minaj didn't seem to have big problems with hilarious memes appearing on the internet following the release of her...
-
Miley Cyrus updated her Instagram with lots of photoshopped pictures. This time, Justin Bieber 's Calvin Kl...
-
Mr Blue aka Kabayser ameanzisha taasisi ya ‘Micharazo Foundation’ itakayoanza kupokea wasanii wapya na pia itakuwa sehemu ya kukuza vipaj...
-
Lil Wayne ni msanii wa Hiphop lakini aliwahi kujaribu kutoa album ya rock ambayo inaitwa Rebirth yenye hit singles kama Knock Out na Porm ...
-
Kikosi Kazi cha Polisi cha Kuzuia Dawa za Kulevya nchini kimemhoji kwa zaidi ya saa 10, msanii Agnes Gerald ‘Masogange’ kuhusiana na tuhum...
-
Will Smith , who is gearing up for his new film " Focus " with Margot Robbie , opens up about his experience in 25 y...
-
Richard Linklater's 12-year experiment " Boyhood " has garnered positive reviews from critics and it just added a famous name ...
-
Snoop Dogg has put a big fat target on a guy who's now being gay bashed, and the guy is now preparing a lawsuit against Mr. D. Cortez ...
-
Amber Rose was a guest on the Breakfast Club last week , and she threw some shade towards Tyga and Kylie Jenner, alluding that the two wer...

0 comments:
Post a Comment