Wednesday, February 4, 2015
On 1:59 AM by Unknown No comments
Binti huyo mwenye miaka 21 alikutwa bafuni kwenye ‘bathtub’ Jumamosi iliyopita akiwa amepoteza fahamu.
Kwa mujibu wa taarifa ya polisi, siku moja kabla ya tukio hilo Kristina alikuwa na rafiki yake ambaye aliwahi kutuhumiwa kujihusisha na dawa za kulevya.
Ripoti ya polisi inadai kwamba Maxwell Byron Lomas, ambaye alikuwa na Bobbi Brown siku aliyokutwa amepoteza fahamu bafuni kwenye ‘bath tub’, aliwahi kukamatwa mwezi mmoja uliopita kwa kusambaza dawa za kulevya na kuwekwa chini ya ulinzi January 14 na baadae kuachiwa kwa dhamana, kwa mujibu wa Fulton County Jail records.
Katika hatua nyingine, Bobbi Kristina amehamishiwa kwenye hospitali nyingine iitwayo Emory University Hospital iliyoko Atlanta, GA inayosifika kwa matibabu bora zaidi ya mishipa ya fahamu, TMZ imeripoti. Toka siku ya Jumamosi alikuwa katika hospitali ya North Fulton Hospital iliyoko karibu na nyumbani kwake huko Roswell, GA.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Slider
MusicView All
TechnologyView All
PicturesView All
GamesView All
Labels
Category
Ads
Text
Find Us On Facebook
Link List
Contact Form
Blogroll
Flickr Images
728x90 AdSpace
Label
FashionView All
Latest News
Popular Posts
-
Tumezoea kusikia wakati wa kufunga ndoa watu wakila kiapo kuwa watapendana hadi kifo kitakapowakuta, kia...
-
Mansoor himid,aliyewahi kuwa mwakilishi na wakati flani waziri asiyekua na wizara maalum na pia ni shemeji wa rais karume, Akutwa na silaha...
-
Kikosi Kazi cha Polisi cha Kuzuia Dawa za Kulevya nchini kimemhoji kwa zaidi ya saa 10, msanii Agnes Gerald ‘Masogange’ kuhusiana na tuhum...
-
Nicki Minaj didn't seem to have big problems with hilarious memes appearing on the internet following the release of her...
-
Mr Blue aka Kabayser ameanzisha taasisi ya ‘Micharazo Foundation’ itakayoanza kupokea wasanii wapya na pia itakuwa sehemu ya kukuza vipaj...
-
5:55 PM PT -- Meek just posted his first pic after prison -- chilling in a living room and cracking jokes about a friend's broken foot...
-
Miley Cyrus updated her Instagram with lots of photoshopped pictures. This time, Justin Bieber 's Calvin Kl...
-
Amber Rose was a guest on the Breakfast Club last week , and she threw some shade towards Tyga and Kylie Jenner, alluding that the two wer...
-
Lil Wayne ni msanii wa Hiphop lakini aliwahi kujaribu kutoa album ya rock ambayo inaitwa Rebirth yenye hit singles kama Knock Out na Porm ...
-
Kiatu cha Nike Hypervenom cha mwaka 2014 kinavaliwa na wachezaji kama Welbeck, Neymar na Rooney kwenye kombe la dunia la 2014. Kiatu hichi c...
0 comments:
Post a Comment