Thursday, June 26, 2014
Beyonce aliandika kwenye website yake ujumbe maalum unaosimulia maisha yake kwa kukumbuka matukio yaliyokuwa yanamgusa MJ.
Aliandika kuwa wakati anaanza muziki, producer wake wa kwanza alimtaka aangalie performance ya Michael Jackson ‘Who’s Loving You’ kwa masaa kadhaa.
Alieleza kuwa alimwambia afanye hivyo kwa lengo la kujifunza kuwa unaweza hata kusikia roho yake wakati anaperform.
“What he wanted me to learn was his soul. You could hear his soul. And he was this little kid who hadn’t experienced love but he was a vessel.For whatever reason he could evoke more emotion than an adult. It was so raw and so pure. It was these little things that he did that were just swag. It’s something that’s God given.” Aliandika Beyonce.
Alieleza kuwa alijifunza kuwa sio lazima kila wakati utumie technique na kufuata hisia zako.
“Michael Jackson alinibadilisha, na alinisaidia kuwa mwanamuziki kwa jinsi nilivyo, asante Michael.”
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Slider
MusicView All
TechnologyView All
PicturesView All
GamesView All
Labels
Category
Ads
Text
Find Us On Facebook
Link List
Contact Form
Blogroll
Flickr Images
728x90 AdSpace
Label
FashionView All
Latest News
Popular Posts
-
Tumezoea kusikia wakati wa kufunga ndoa watu wakila kiapo kuwa watapendana hadi kifo kitakapowakuta, kia...
-
Brad Pitt and Angelina Jolie will finally tie the knot, only for a movie. According to a scoop from The Hollywoo...
-
Miley Cyrus updated her Instagram with lots of photoshopped pictures. This time, Justin Bieber 's Calvin Kl...
-
Brad Pitt has owned a gun since he was very young. In a new interview with Radio Times to promote his new flick " Fury ", the a...
-
It's good to be Iron Man — Robert Downey Jr. once again leads Fo...
-
Will Smith , who is gearing up for his new film " Focus " with Margot Robbie , opens up about his experience in 25 y...
-
Lil Wayne ni msanii wa Hiphop lakini aliwahi kujaribu kutoa album ya rock ambayo inaitwa Rebirth yenye hit singles kama Knock Out na Porm ...
-
Mara nyingi birthday party za washkaji huwa zinasindikizwa na umwagiwaji wa maji kwa mhusika,sasa unaambiwa hii ya Shetta imekua kibok...
-
Channel O walitisha sana na maandalizi ya mwaka huu wa 2014 ambapo magari mbalimbali yalitumika kuwaleta mastaa mpaka kwenye stage...
0 comments:
Post a Comment