Thursday, July 31, 2014
On 3:27 AM by Unknown No comments

Familia ya Mr na Mrs Dean ‘Alicia Keys Na Swizz Beatz’ wametangaza kuwa wanategemea kupata mtoto wao wapili. Alicia Keys ametumia mtandao wa Instagram kutangaza kuwa baada ya miaka minne ya ndoa yao kudumu wanategemea kupata mtoto wa pili. Keys ameandika hivi “Happy Anniversary to the love of my life @therealswizzz!!” “And to make it even sweeter we’ve been blessed with another angel on the way!! You make me happier than I have ever known! Here’s to many many more years of the best parts of life!”
Swizz pia ameweka kwenye instagram picha akimbusu Alicia Keys na kuandika ujumbe huu “Love is life & life is love and we’re so excited for another GIFT from up above. Happy Anniversary my Goddess 4 years of greatness & cheers to 100 plus more inshallah” Alicia Keys na Swizz Beats wana mtoto mmoja anaitwa Egypt na walimpata October 2010 na Swizz anawatoto watatu kutoka kwenye mahusino mengine.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Slider
MusicView All
TechnologyView All
PicturesView All
GamesView All
Labels
Category
Ads
Text
Find Us On Facebook
Link List
Contact Form
Blogroll
Flickr Images
728x90 AdSpace
Label
FashionView All
Latest News
Popular Posts
-
Tumezoea kusikia wakati wa kufunga ndoa watu wakila kiapo kuwa watapendana hadi kifo kitakapowakuta, kia...
-
Nicki Minaj didn't seem to have big problems with hilarious memes appearing on the internet following the release of her...
-
Miley Cyrus updated her Instagram with lots of photoshopped pictures. This time, Justin Bieber 's Calvin Kl...
-
Mr Blue aka Kabayser ameanzisha taasisi ya ‘Micharazo Foundation’ itakayoanza kupokea wasanii wapya na pia itakuwa sehemu ya kukuza vipaj...
-
Brad Pitt has owned a gun since he was very young. In a new interview with Radio Times to promote his new flick " Fury ", the a...
-
Lil Wayne ni msanii wa Hiphop lakini aliwahi kujaribu kutoa album ya rock ambayo inaitwa Rebirth yenye hit singles kama Knock Out na Porm ...
-
Mara nyingi birthday party za washkaji huwa zinasindikizwa na umwagiwaji wa maji kwa mhusika,sasa unaambiwa hii ya Shetta imekua kibok...
-
Brad Pitt and Angelina Jolie will finally tie the knot, only for a movie. According to a scoop from The Hollywoo...
-
Amber Rose was a guest on the Breakfast Club last week , and she threw some shade towards Tyga and Kylie Jenner, alluding that the two wer...
-
Yemen imesema wapiganaji wa kundi la al-Qaeda wamewaua watu sita katika mapi...

0 comments:
Post a Comment