Tuesday, August 5, 2014
On 5:36 AM by Unknown No comments
Rapper Ambwene Yessaya ambaye yupo jijini Washington DC, Marekani pamoja na wasanii wengine, leo wametumbuiza mbele ya viongozi mbalimbali wa Marekani na Africa. Show hiyo imefanyika kwenye ukumbi wa Newseum mjini DC.“Jana (juzi) ilikuwa ni tour ya kwenda white house na nini, kuelezewa mambo ya mule ndani na baadaye usiku tukafanya rehearsal mpaka usiku wa manane,” AY aliiambia Bongo5 jana. “Leo (jana) sasa ndo kila kitu, watu tunakutana kwaajili ya kujadili na baada ya hapo tutafanya show leo usiku. Chochote kitakachojadiliwa nitawajuza. Kesho pia ni kuna mkutano mwingine, pia viongozi mbalimbali marais wako hapa wanawasili na mwenyeji mkuu yuko hapa, kesho pia kutakuwa kuna dinner white house,” alisema.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Slider
MusicView All
TechnologyView All
PicturesView All
GamesView All
Labels
Category
Ads
Text
Find Us On Facebook
Link List
Contact Form
Blogroll
Flickr Images
728x90 AdSpace
Label
FashionView All
Latest News
Popular Posts
-
Tumezoea kusikia wakati wa kufunga ndoa watu wakila kiapo kuwa watapendana hadi kifo kitakapowakuta, kia...
-
Miley Cyrus updated her Instagram with lots of photoshopped pictures. This time, Justin Bieber 's Calvin Kl...
-
Brad Pitt has owned a gun since he was very young. In a new interview with Radio Times to promote his new flick " Fury ", the a...
-
Mr Blue aka Kabayser ameanzisha taasisi ya ‘Micharazo Foundation’ itakayoanza kupokea wasanii wapya na pia itakuwa sehemu ya kukuza vipaj...
-
Nicki Minaj didn't seem to have big problems with hilarious memes appearing on the internet following the release of her...
-
Mara nyingi birthday party za washkaji huwa zinasindikizwa na umwagiwaji wa maji kwa mhusika,sasa unaambiwa hii ya Shetta imekua kibok...
-
Brad Pitt and Angelina Jolie will finally tie the knot, only for a movie. According to a scoop from The Hollywoo...
-
Yemen imesema wapiganaji wa kundi la al-Qaeda wamewaua watu sita katika mapi...
-
Will Smith , who is gearing up for his new film " Focus " with Margot Robbie , opens up about his experience in 25 y...
-
Lil Wayne ni msanii wa Hiphop lakini aliwahi kujaribu kutoa album ya rock ambayo inaitwa Rebirth yenye hit singles kama Knock Out na Porm ...
0 comments:
Post a Comment