Monday, June 23, 2014
On 9:59 AM by Unknown in ENTERTAINMENT No comments
Uzuri wa Alicia Keys plus jina kubwa alilopata kupitia kazi zake vimempa
deal ya kuwa kisura kwenye manukato mapya ya kampuni maarufu duniani
kwa manukato Givenchy.
Sura ya muimbaji huyo wa “Girl on Fire” ataikuwa kichocheo cha mauzo ya perfume mpya ya kampuni hiyo iliyopewa jina la Dahlia Divin.
Hata hivyo bado hajajulikana ni kiasi gani cha pesa alicholipwa kuwa kisura wa pafyumu hiyo ambayo matangazo yake yataanza kuonekana kwenye majarida September mwaka huu.
Baadhi ya watu maarufu waliowahi kuwa visura wa pafyumu hiyo ni pamoja na Justin Timberlake, Liv Tyler, Uma Thurman, na Amanda Seyfried.
Sura ya muimbaji huyo wa “Girl on Fire” ataikuwa kichocheo cha mauzo ya perfume mpya ya kampuni hiyo iliyopewa jina la Dahlia Divin.
Hata hivyo bado hajajulikana ni kiasi gani cha pesa alicholipwa kuwa kisura wa pafyumu hiyo ambayo matangazo yake yataanza kuonekana kwenye majarida September mwaka huu.
Baadhi ya watu maarufu waliowahi kuwa visura wa pafyumu hiyo ni pamoja na Justin Timberlake, Liv Tyler, Uma Thurman, na Amanda Seyfried.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Slider
MusicView All
TechnologyView All
PicturesView All
GamesView All
Labels
Category
Ads
Text
Find Us On Facebook
Link List
Contact Form
Blogroll
Flickr Images
728x90 AdSpace
Label
FashionView All
Latest News
Popular Posts
-
Tumezoea kusikia wakati wa kufunga ndoa watu wakila kiapo kuwa watapendana hadi kifo kitakapowakuta, kia...
-
Nicki Minaj didn't seem to have big problems with hilarious memes appearing on the internet following the release of her...
-
Mr Blue aka Kabayser ameanzisha taasisi ya ‘Micharazo Foundation’ itakayoanza kupokea wasanii wapya na pia itakuwa sehemu ya kukuza vipaj...
-
Kikosi Kazi cha Polisi cha Kuzuia Dawa za Kulevya nchini kimemhoji kwa zaidi ya saa 10, msanii Agnes Gerald ‘Masogange’ kuhusiana na tuhum...
-
Amber Rose was a guest on the Breakfast Club last week , and she threw some shade towards Tyga and Kylie Jenner, alluding that the two wer...
-
Miley Cyrus updated her Instagram with lots of photoshopped pictures. This time, Justin Bieber 's Calvin Kl...
-
Mark Wahlberg 's massive home in Beverly Park, CA is finally complete ... 30,000 square feet strong ... and it's t...
-
Lil Wayne ni msanii wa Hiphop lakini aliwahi kujaribu kutoa album ya rock ambayo inaitwa Rebirth yenye hit singles kama Knock Out na Porm ...
-
5:55 PM PT -- Meek just posted his first pic after prison -- chilling in a living room and cracking jokes about a friend's broken foot...
-
Justin Bieber amepata ajali ya gari akiwa katika gari lake la Cadillac Escalade wakati akiwakimbia mapaparazzi, Beverly Hills. Kwa mujibu w...

0 comments:
Post a Comment