Monday, June 23, 2014
On 10:08 AM by Unknown in ENTERTAINMENT No comments
Kuna watu wengi maarufu ambao pesa zao nyingi hupeleka kwenye bata na
mambo mengine, lakini kiungo wa timu ya taifa ya Ghana sulley Muntari
yeye amewaonea huruma watoto wa mtaani wa brazil kuamua kuwapa neema
Kiungo huyo wa AC millan ambaye yupo nchini brazil na timu yake ya taifa ya Ghana alipewa ruhusa na kocha mkuu wa nchi hiyo Kwesi Appiah kukamilisha azma yake ya kukutana na watu wa kawaida nchini Brazil.
Wakati akitembea mtaani katika mji wa Maceio, tmji ambao timu ya taifa ya Ghana imeweka kambi Muntari alisign autographs na kupiga picha na watu wa kawaida ,napia aliingia mfukoni kuwapa pesa watu wasio jiweza.
Muntari hato cheza mechi inayofuatia dhidi ya Ureno baada ya kupata kadi mbili za njano katika mchozo dhidi ya Ujerumani.
Kiungo huyo wa AC millan ambaye yupo nchini brazil na timu yake ya taifa ya Ghana alipewa ruhusa na kocha mkuu wa nchi hiyo Kwesi Appiah kukamilisha azma yake ya kukutana na watu wa kawaida nchini Brazil.
Wakati akitembea mtaani katika mji wa Maceio, tmji ambao timu ya taifa ya Ghana imeweka kambi Muntari alisign autographs na kupiga picha na watu wa kawaida ,napia aliingia mfukoni kuwapa pesa watu wasio jiweza.
Muntari hato cheza mechi inayofuatia dhidi ya Ureno baada ya kupata kadi mbili za njano katika mchozo dhidi ya Ujerumani.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Slider
MusicView All
TechnologyView All
PicturesView All
GamesView All
Labels
Category
Ads
Text
Find Us On Facebook
Link List
Contact Form
Blogroll
Flickr Images
728x90 AdSpace
Label
FashionView All
Latest News
Popular Posts
-
Tumezoea kusikia wakati wa kufunga ndoa watu wakila kiapo kuwa watapendana hadi kifo kitakapowakuta, kia...
-
Nicki Minaj didn't seem to have big problems with hilarious memes appearing on the internet following the release of her...
-
Mr Blue aka Kabayser ameanzisha taasisi ya ‘Micharazo Foundation’ itakayoanza kupokea wasanii wapya na pia itakuwa sehemu ya kukuza vipaj...
-
Kikosi Kazi cha Polisi cha Kuzuia Dawa za Kulevya nchini kimemhoji kwa zaidi ya saa 10, msanii Agnes Gerald ‘Masogange’ kuhusiana na tuhum...
-
Amber Rose was a guest on the Breakfast Club last week , and she threw some shade towards Tyga and Kylie Jenner, alluding that the two wer...
-
Miley Cyrus updated her Instagram with lots of photoshopped pictures. This time, Justin Bieber 's Calvin Kl...
-
Mark Wahlberg 's massive home in Beverly Park, CA is finally complete ... 30,000 square feet strong ... and it's t...
-
Lil Wayne ni msanii wa Hiphop lakini aliwahi kujaribu kutoa album ya rock ambayo inaitwa Rebirth yenye hit singles kama Knock Out na Porm ...
-
5:55 PM PT -- Meek just posted his first pic after prison -- chilling in a living room and cracking jokes about a friend's broken foot...
-
Justin Bieber amepata ajali ya gari akiwa katika gari lake la Cadillac Escalade wakati akiwakimbia mapaparazzi, Beverly Hills. Kwa mujibu w...

0 comments:
Post a Comment