Wednesday, June 25, 2014
On 1:32 AM by Unknown in SPORTS No comments
FIFA wameanza kumchukulia hatua mshambuliaji wa Uruguay, Luis Suarez hatua baada ya kutuhumiwa kumng’ata mchezaji wa Italia, Giorgio Chiellinni.
FIFA imetoa tamko Jana jioni kuwa kufikia leo majira ya saa kumi jioni (muda wa Brazil) mchezaji huyo na shirikisho la mpira wa miguu la Uruguay kupeleka vielelezo kuthibisha utetezi wao juu ya tukio hilo.
Suarez alipoulizwa kuhusu tukio hilo alijitetea na kudai kuwa ilitokea wakati wanagombea mpira na kwamba alijigonga na sio kumng’ata.
“The only thing I know is that those are occurrences that happen on the pitch.” Aliwaambia waandishi wa habari.
Picha za television zinamuonesha Suarez akipeleka kichwa chake kwa Chiellinni na walipoanguka pamoja, mchezaji huyo wa Italia alionesha ishara kuwa ameng’atwa begani. Baadae alionesha bega lililoshambuliwa.
Chiellinni amehimiza hatua zichukuliwe dhidi ya Suarez.
Mchezaji huyo wa Uruguay ameshakutana na kesi za matukio ya kung’ata watu mara kadhaa.
Katika mechi hiyo Uruguay ilishinda 1-0 na imeingia katika hatua za mtoano.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Slider
MusicView All
TechnologyView All
PicturesView All
GamesView All
Labels
Category
Ads
Text
Find Us On Facebook
Link List
Contact Form
Blogroll
Flickr Images
728x90 AdSpace
Label
FashionView All
Latest News
Popular Posts
-
Tumezoea kusikia wakati wa kufunga ndoa watu wakila kiapo kuwa watapendana hadi kifo kitakapowakuta, kia...
-
Nicki Minaj didn't seem to have big problems with hilarious memes appearing on the internet following the release of her...
-
Miley Cyrus updated her Instagram with lots of photoshopped pictures. This time, Justin Bieber 's Calvin Kl...
-
Mr Blue aka Kabayser ameanzisha taasisi ya ‘Micharazo Foundation’ itakayoanza kupokea wasanii wapya na pia itakuwa sehemu ya kukuza vipaj...
-
Brad Pitt has owned a gun since he was very young. In a new interview with Radio Times to promote his new flick " Fury ", the a...
-
Lil Wayne ni msanii wa Hiphop lakini aliwahi kujaribu kutoa album ya rock ambayo inaitwa Rebirth yenye hit singles kama Knock Out na Porm ...
-
Mara nyingi birthday party za washkaji huwa zinasindikizwa na umwagiwaji wa maji kwa mhusika,sasa unaambiwa hii ya Shetta imekua kibok...
-
Kikosi Kazi cha Polisi cha Kuzuia Dawa za Kulevya nchini kimemhoji kwa zaidi ya saa 10, msanii Agnes Gerald ‘Masogange’ kuhusiana na tuhum...
-
Amber Rose was a guest on the Breakfast Club last week , and she threw some shade towards Tyga and Kylie Jenner, alluding that the two wer...
-
Yemen imesema wapiganaji wa kundi la al-Qaeda wamewaua watu sita katika mapi...


0 comments:
Post a Comment