Wednesday, July 16, 2014
On 10:58 PM by Unknown No comments
jana
kulikuwa na sherehe za nomineez na washindw wa tuzo za B E T huko Nigeria sasa
mshidi wa the best international act Africa DAVIDO amekanusha tetesi kwamba
alichukulia tuzo back stage. Nakusema kuwa alichukulia stejini lakini ilikuwa
ni show ya awali yani pre show alafu akaenda back stage kupiga picha that’s y
watu wakasema amechukulia tuozo back stage
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment