Thursday, September 11, 2014
On 1:30 AM by Unknown No comments
Msanii wa Bongo Flava, Ambwene Yesaya ametoa mbinu mpya na rahisi kwa wachezaji nchini Tanzania kutumia teknolojia ya mtandao kujitangaza kimataifa.
, AY aliwashauri wachezaji wa Tanzania kuhakikisha wanaweka vipande vya video za mechi au sehemu walizocheza vizuri zaidi ili kujipa nafasi ya kuangaliwa na dunia nzima.
Alieleza kuwa ligi za hapa nyumbani ni vigumu kuangaliwa na wadau wakubwa wa mpira duniani lakini kwa kutumia channel za Youtube ni rahisi watu hao kuangalia video zao hata baada ya muda mrefu kupita na wanaweza kuvutiwa na uchezaji wao.
Aliongeza kuwa aliwahi kuzungumza na rafiki yake mmoja kutoka Uingereza ambaye ana nafasi katika timu ya Manchester United na akajaribu kumdadisi kama wanaweza kufanya mpango wa kuona vipaji vya wachezaji kutoka Tanzania lakini swali moja tu lilikuwa jibu tosha.
“Aliniuliza ‘kuna channel za YouTube za wachezaji wa Tanzania ambazo tunaweza kuona kazi zao?.”
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Slider
MusicView All
TechnologyView All
PicturesView All
GamesView All
Labels
Category
Ads
Text
Find Us On Facebook
Link List
Contact Form
Blogroll
Flickr Images
728x90 AdSpace
Label
FashionView All
Latest News
Popular Posts
-
Tumezoea kusikia wakati wa kufunga ndoa watu wakila kiapo kuwa watapendana hadi kifo kitakapowakuta, kia...
-
Nicki Minaj didn't seem to have big problems with hilarious memes appearing on the internet following the release of her...
-
Miley Cyrus updated her Instagram with lots of photoshopped pictures. This time, Justin Bieber 's Calvin Kl...
-
Mr Blue aka Kabayser ameanzisha taasisi ya ‘Micharazo Foundation’ itakayoanza kupokea wasanii wapya na pia itakuwa sehemu ya kukuza vipaj...
-
Lil Wayne ni msanii wa Hiphop lakini aliwahi kujaribu kutoa album ya rock ambayo inaitwa Rebirth yenye hit singles kama Knock Out na Porm ...
-
Kikosi Kazi cha Polisi cha Kuzuia Dawa za Kulevya nchini kimemhoji kwa zaidi ya saa 10, msanii Agnes Gerald ‘Masogange’ kuhusiana na tuhum...
-
Yemen imesema wapiganaji wa kundi la al-Qaeda wamewaua watu sita katika mapi...
-
Brad Pitt has owned a gun since he was very young. In a new interview with Radio Times to promote his new flick " Fury ", the a...
-
Mara nyingi birthday party za washkaji huwa zinasindikizwa na umwagiwaji wa maji kwa mhusika,sasa unaambiwa hii ya Shetta imekua kibok...
-
Will Smith , who is gearing up for his new film " Focus " with Margot Robbie , opens up about his experience in 25 y...
0 comments:
Post a Comment