Thursday, September 11, 2014
On 1:30 AM by Unknown No comments
Msanii wa Bongo Flava, Ambwene Yesaya ametoa mbinu mpya na rahisi kwa wachezaji nchini Tanzania kutumia teknolojia ya mtandao kujitangaza kimataifa.
, AY aliwashauri wachezaji wa Tanzania kuhakikisha wanaweka vipande vya video za mechi au sehemu walizocheza vizuri zaidi ili kujipa nafasi ya kuangaliwa na dunia nzima.
Alieleza kuwa ligi za hapa nyumbani ni vigumu kuangaliwa na wadau wakubwa wa mpira duniani lakini kwa kutumia channel za Youtube ni rahisi watu hao kuangalia video zao hata baada ya muda mrefu kupita na wanaweza kuvutiwa na uchezaji wao.
Aliongeza kuwa aliwahi kuzungumza na rafiki yake mmoja kutoka Uingereza ambaye ana nafasi katika timu ya Manchester United na akajaribu kumdadisi kama wanaweza kufanya mpango wa kuona vipaji vya wachezaji kutoka Tanzania lakini swali moja tu lilikuwa jibu tosha.
“Aliniuliza ‘kuna channel za YouTube za wachezaji wa Tanzania ambazo tunaweza kuona kazi zao?.”
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Slider
MusicView All
TechnologyView All
PicturesView All
GamesView All
Labels
Category
Ads
Text
Find Us On Facebook
Link List
Contact Form
Blogroll
Flickr Images
728x90 AdSpace
Label
FashionView All
Latest News
Popular Posts
-
It's good to be Iron Man — Robert Downey Jr. once again leads Fo...
-
Tumezoea kusikia wakati wa kufunga ndoa watu wakila kiapo kuwa watapendana hadi kifo kitakapowakuta, kia...
-
Brad Pitt and Angelina Jolie will finally tie the knot, only for a movie. According to a scoop from The Hollywoo...
-
Brad Pitt has owned a gun since he was very young. In a new interview with Radio Times to promote his new flick " Fury ", the a...
-
Channel O walitisha sana na maandalizi ya mwaka huu wa 2014 ambapo magari mbalimbali yalitumika kuwaleta mastaa mpaka kwenye stage...
-
Will Smith , who is gearing up for his new film " Focus " with Margot Robbie , opens up about his experience in 25 y...
-
Miley Cyrus updated her Instagram with lots of photoshopped pictures. This time, Justin Bieber 's Calvin Kl...
-
Sio Wakati Wote Ni Wa Kazi Hata Kmaa Ni Mtu Maarufu Kuna Muda Unatakiwa Kukutana Na Watu Tofauti Na Kujipa Raha kwa Nafasi Kama Unavyomuo...
-
Mwanamke mmoja aliyejulikana kwa jina moja la Asha (31) ambaye ni mke wa mtu, amejikuta akiachika katika ndoa yake baada ya kudaiwa kumuun...
-
Justin Bieber ambaye hivi sasa yuko katika kipindi cha matazamio ameripotiwa kuhatarisha maisha ya watembea kwa miguu katika eneo la Beve...
0 comments:
Post a Comment