Tuesday, September 30, 2014
On 4:08 AM by Unknown No comments
“Unajua nyimbo zangu huwa naandika kwa kutumia dakika chache sana kama wimbo wangu huu mpya niliandika kwa kutumia dakika 30 lakini zingine zote huwa ni kuanzia dakika 25,30, hadi 40 inatagemea na mzuka ukoje siku hiyo,” amesema. “Naona hiki nikipaji ambacho Mungu amenipa. Kwahiyo na mimi nawapa mashabiki wangu nyimbo nzuri kama hizo. Unajua hadi sasa hivi nimeshaandika nyimbo nyingi sana, nimeandika hadi album za watu wengine na bado nyimbo za Gospel, zipo nilizoandika. Namshukuru aisee sana Mungu kwa kunipa hiki kipaji. Wasanii wengi nimewaandikia sipendi kuwataja napenda wenyewe waje kusema.”
Kuhusu kazi mpya, Barnaba amesema: Sasa hivi nakuja na ngoma ambayo sio ya kukimbia sana ipo kama RnB yaani wimbo fulani hivi upo katika mahadhi hayo. Lakini mashabiki wasubiri ndo watauelewa vizuri. Pia najiandaa kushoot video ya wimbo huo ambao ndo utakuwa wimbo wangu wa kwanza kumshirikisha mwana hip hop humo ndani. Nimemshirikisha Mr Blue na video nafanya na Nick Dizzo, ngoma inaitwa “Marry Me” producer ni Ema the Boy na mimi mwenyewe.”
Barnaba ameongeza kuwa atatoa album iitwayo ‘Nimeona’ atakayowashirisha wasanii mbalimbali wakiwemo wa nje ya nchi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Slider
MusicView All
TechnologyView All
PicturesView All
GamesView All
Labels
Category
Ads
Text
Find Us On Facebook
Link List
Contact Form
Blogroll
Flickr Images
728x90 AdSpace
Label
FashionView All
Latest News
Popular Posts
-
Tumezoea kusikia wakati wa kufunga ndoa watu wakila kiapo kuwa watapendana hadi kifo kitakapowakuta, kia...
-
Nicki Minaj didn't seem to have big problems with hilarious memes appearing on the internet following the release of her...
-
Miley Cyrus updated her Instagram with lots of photoshopped pictures. This time, Justin Bieber 's Calvin Kl...
-
Mr Blue aka Kabayser ameanzisha taasisi ya ‘Micharazo Foundation’ itakayoanza kupokea wasanii wapya na pia itakuwa sehemu ya kukuza vipaj...
-
Lil Wayne ni msanii wa Hiphop lakini aliwahi kujaribu kutoa album ya rock ambayo inaitwa Rebirth yenye hit singles kama Knock Out na Porm ...
-
Kikosi Kazi cha Polisi cha Kuzuia Dawa za Kulevya nchini kimemhoji kwa zaidi ya saa 10, msanii Agnes Gerald ‘Masogange’ kuhusiana na tuhum...
-
Yemen imesema wapiganaji wa kundi la al-Qaeda wamewaua watu sita katika mapi...
-
Brad Pitt has owned a gun since he was very young. In a new interview with Radio Times to promote his new flick " Fury ", the a...
-
Mara nyingi birthday party za washkaji huwa zinasindikizwa na umwagiwaji wa maji kwa mhusika,sasa unaambiwa hii ya Shetta imekua kibok...
-
Will Smith , who is gearing up for his new film " Focus " with Margot Robbie , opens up about his experience in 25 y...
0 comments:
Post a Comment