Friday, September 26, 2014
On 1:47 AM by Unknown No comments
Diamond Platnumz, Vanessa Mdee na Peter Msechu wametajwa kuwania tuzo za ‘All Africa Music Awards’ AFRIMA 2014 huko Nigeria.
Vanessa ametajwa kuwania vipengele viwili ambavyo ni ‘Msanii Bora wa kike Afrika Mashariki’ pamoja na ‘Best African RNB Soul’ kupitia wimbo wa ‘Come Over’. Diamond ametajwa kuwania Msanii Bora wa kiume Afrika Mashariki pamoja na Peter Msechu ( kwa wimbo wake Nyota aliomshirikisha Amini) na BEST AFRICAN COLLABORATION.
Upigaji kura unatarajiwa kuanza Jumanne ya wiki ijayo September 30 na tuzo zitatolewa November 9, 2014.
Vanessa ameshare furaha yake na kuwashukuru mashabiki kwa kuandika:
“Just found out I got 2 @AFRIMAWARDS nominations! #BestFemaleEastAfrica #BestAfricanRNBSoul #Tanzania #Africa ASANTE I’m over that moon.”
Ingia hapa kupata orodha kamili ya nominees
Diamond Platnumz ametajwa kuwania tuzo za ‘All Africa Music Awards’ AFRIMA 2014.
Majina hayo ya wasanii watakaowania tuzo hizo mwaka huu yalitangazwa Jumanne hii, September 23, 2014 Protea Hotel Leadway, Maryland Estate, Lagos, Nigeria. Tofauti na tuzo zingine, wasanii wanatakiwa kuwasilisha kazi zao kwa jopo la AFRIMA ambapo kazi hiyo ilianza May 15 na kufungwa July 21. Jumla ya kazi 2,025 zilipokelewa kwa uchambuzi.
Jopo la majaji wa AFRIMA ambalo linaundwa na wadau wa muziki barani Afrika, walikuwa jijini Lagos, kuanzia July 31 hadi Aug. 6 kuchambuzi kazi hizo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Slider
MusicView All
TechnologyView All
PicturesView All
GamesView All
Labels
Category
Ads
Text
Find Us On Facebook
Link List
Contact Form
Blogroll
Flickr Images
728x90 AdSpace
Label
FashionView All
Latest News
Popular Posts
-
Tumezoea kusikia wakati wa kufunga ndoa watu wakila kiapo kuwa watapendana hadi kifo kitakapowakuta, kia...
-
Nicki Minaj didn't seem to have big problems with hilarious memes appearing on the internet following the release of her...
-
Miley Cyrus updated her Instagram with lots of photoshopped pictures. This time, Justin Bieber 's Calvin Kl...
-
Mr Blue aka Kabayser ameanzisha taasisi ya ‘Micharazo Foundation’ itakayoanza kupokea wasanii wapya na pia itakuwa sehemu ya kukuza vipaj...
-
Kikosi Kazi cha Polisi cha Kuzuia Dawa za Kulevya nchini kimemhoji kwa zaidi ya saa 10, msanii Agnes Gerald ‘Masogange’ kuhusiana na tuhum...
-
Lil Wayne ni msanii wa Hiphop lakini aliwahi kujaribu kutoa album ya rock ambayo inaitwa Rebirth yenye hit singles kama Knock Out na Porm ...
-
Mara nyingi birthday party za washkaji huwa zinasindikizwa na umwagiwaji wa maji kwa mhusika,sasa unaambiwa hii ya Shetta imekua kibok...
-
Yemen imesema wapiganaji wa kundi la al-Qaeda wamewaua watu sita katika mapi...
-
Brad Pitt has owned a gun since he was very young. In a new interview with Radio Times to promote his new flick " Fury ", the a...
-
President Barack Obama commended the U.S. soccer team Wednesday for making the country proud in the World Cup tournament in Brazil.
0 comments:
Post a Comment