Thursday, September 18, 2014
On 2:19 AM by Unknown No comments
Taarifa kutoka katika ofisi ya mwendesha mashitaka wa wilaya ya Dongcheng, zimethibitisha hatua hiyo ambapo Jaycee Chan anaweza kufungwa hadi miaka 3 jela endapo atakutwa na hatia ya kuwaruhusu watu kutumia dawa za kulevya katika nyumba yake.
Jaycee Chan alikamatwa mwezi uliopita akiwa na muigizaji mwingine wa Taiwan anaefahamika kwa jina la Ko Kai. Wawili hao walifanyiwa vipimo na kugundulika kuwa walitumia dawa za kulevya aina ya Marijuana na walikiri kuwa walipeleka nyumbani kwa Jaycee grams 100 za dawa hizo.
Kwa sheria za China, Polisi anatakiwa kuomba ruhusa ya kumkamata rasmi mtuhumiwa kutoka kwa muendesha mashitaka wa serikali. Taratibu za upelelezi zinaweza kuendelea wakati huo.
Kwa upande wa Ko Kai, alipewa kifungo cha siku 14 baada ya kukiri kutumia marijuana na baadae yeye na familia yake walifanya mkutano na waandishi wa habari na kuomba radhi kwa kitendo hicho
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Slider
MusicView All
TechnologyView All
PicturesView All
GamesView All
Labels
Category
Ads
Text
Find Us On Facebook
Link List
Contact Form
Blogroll
Flickr Images
728x90 AdSpace
Label
FashionView All
Latest News
Popular Posts
-
Tumezoea kusikia wakati wa kufunga ndoa watu wakila kiapo kuwa watapendana hadi kifo kitakapowakuta, kia...
-
Nicki Minaj didn't seem to have big problems with hilarious memes appearing on the internet following the release of her...
-
Miley Cyrus updated her Instagram with lots of photoshopped pictures. This time, Justin Bieber 's Calvin Kl...
-
Mr Blue aka Kabayser ameanzisha taasisi ya ‘Micharazo Foundation’ itakayoanza kupokea wasanii wapya na pia itakuwa sehemu ya kukuza vipaj...
-
Brad Pitt has owned a gun since he was very young. In a new interview with Radio Times to promote his new flick " Fury ", the a...
-
Lil Wayne ni msanii wa Hiphop lakini aliwahi kujaribu kutoa album ya rock ambayo inaitwa Rebirth yenye hit singles kama Knock Out na Porm ...
-
Mara nyingi birthday party za washkaji huwa zinasindikizwa na umwagiwaji wa maji kwa mhusika,sasa unaambiwa hii ya Shetta imekua kibok...
-
Amber Rose was a guest on the Breakfast Club last week , and she threw some shade towards Tyga and Kylie Jenner, alluding that the two wer...
-
Yemen imesema wapiganaji wa kundi la al-Qaeda wamewaua watu sita katika mapi...
-
The Rock says his mom, Ata Maivia-Johnson and his cousin were struck HEAD ON by a drunk driver this week ... and luckily, they su...
0 comments:
Post a Comment