Thursday, September 11, 2014
On 1:20 AM by Unknown No comments
Mcheza mieleka wa zamani wa WCW na WWE, Sean O’Haire amekutwa akiwa amefariki kwa baada ya kujinyonga, Jumanne wiki hii.
Kwa mujibu wa TMZ, polisi wameeleza kuwa walimkuta O’Haire akiwa chumbani kwake South Carolina akiwa amejifunga kamba shingoni na tayari ameshakufa. Mwili wake ulitambuliwa kwa mara ya kwanza na baba yake ambaye aliwapiga simu polisi.
O’Haire ambaye jina lake halisi na Sean Hair aliingia katika ulimwengu wa mieleka kwenye WCW (World Championship Wrestling) mwaka 2000 na mwaka huo alipewa ubingwa wa ‘Rookie of the Year’.
Yeye na partner wake Chuck Palumbo waliwahi kuwa mabingwa wa WCW kabla ya kampuni hiyo kununuliwa na WWE.
Mwanamieleka huyo alifahamika zaidi kwa utambulisho wa sentensi yake mara kwa mara “I’m not telling you anything you don’t already know.”
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Slider
MusicView All
TechnologyView All
PicturesView All
GamesView All
Labels
Category
Ads
Text
Find Us On Facebook
Link List
Contact Form
Blogroll
Flickr Images
728x90 AdSpace
Label
FashionView All
Latest News
Popular Posts
-
It's good to be Iron Man — Robert Downey Jr. once again leads Fo...
-
Tumezoea kusikia wakati wa kufunga ndoa watu wakila kiapo kuwa watapendana hadi kifo kitakapowakuta, kia...
-
Brad Pitt and Angelina Jolie will finally tie the knot, only for a movie. According to a scoop from The Hollywoo...
-
Brad Pitt has owned a gun since he was very young. In a new interview with Radio Times to promote his new flick " Fury ", the a...
-
Channel O walitisha sana na maandalizi ya mwaka huu wa 2014 ambapo magari mbalimbali yalitumika kuwaleta mastaa mpaka kwenye stage...
-
Miley Cyrus updated her Instagram with lots of photoshopped pictures. This time, Justin Bieber 's Calvin Kl...
-
Sio Wakati Wote Ni Wa Kazi Hata Kmaa Ni Mtu Maarufu Kuna Muda Unatakiwa Kukutana Na Watu Tofauti Na Kujipa Raha kwa Nafasi Kama Unavyomuo...
-
Mwanamke mmoja aliyejulikana kwa jina moja la Asha (31) ambaye ni mke wa mtu, amejikuta akiachika katika ndoa yake baada ya kudaiwa kumuun...
-
Justin Bieber ambaye hivi sasa yuko katika kipindi cha matazamio ameripotiwa kuhatarisha maisha ya watembea kwa miguu katika eneo la Beve...
-
Will Smith , who is gearing up for his new film " Focus " with Margot Robbie , opens up about his experience in 25 y...
0 comments:
Post a Comment