Thursday, September 25, 2014
On 6:01 AM by Unknown No comments
Rapper kutoka Rock City, Young killer Msodoki wiki hii amerekodi wimbo mpya ambao amemshirikisha kaka yake rapper Fareed Kubanda aka Fid Q, ambaye pia anatoka Mwanza.
Msodoki amezungumza na Bongo 5 kuhusu wimbo huo, “Ni project mpya kabisa kali naweza kusema kwasababu imekutanisha wakali wawili halafu kutoka mji mmoja”, alisema Killer.
Amesema kuwa jina la wimbo huo ’13’, limetokana na tarehe ya kuzaliwa yeye na Fid ambao wanashare tarehe moja ya kuzaliwa lakini mwezi na mwaka tofauti.
“Hii ngoma inaitwa ‘Kumi na Tatu’ (13), kumi na tatu ni tarehe ila hatujaamua kuiita tarehe 13 ila inaitwa 13, kwasababu tarehe 13 ni siku ambayo kazaliwa Fid Q na ndio siku ambayo nimezaliwa mimi kwahiyo wote ni 13, kwahiyo ngoma tumeamua tuiite 13.” Fid amezaliwa August 13 huku Msodoki April 13.
Ameendelea kusema kuwa ‘Kumi na Tatu’ imefanywa na maproducer wanne akiwemo mkongwe P-Funk Majani.
“Ni ngoma ambayo imefanyika Bongo Records producer akiwa ni Majani, ila beats wakiwa wamepiga watu tofauti tofauti, kuna Lollipop, kuna Amiga Tyga, kuna Palla Midundo. Hawa ni watu watatu ambao kila producer nilikuwa nikimpelekea namwambia afanye kitu kimoja ambacho yeye anaweza akafanya…ndio nikafanya kitu kimoja ambacho ambayo vocal ndio akafanya Majani”.
Young Killer alishare picha IG wakiwa studio na kuandika:
“#ILIKUWA SIKU YA FURAHA SANA JANA BAADA YA KUKAMILISHA NDOTO YANGU YA KUFANYA KAZI NA (p.funky MAJANI) ha ha ha
RAHA SANA @majani187 (13) kumi na tatu ). Ha ha ha imenipa wakati mzuri xana wa kutabasamu.. Ha ha ha ha”
Mashabiki wa Msodoki wakae mkao wa kula sababu collabo hiyo inatarajiwa kutoka siku si nyingi.
“Kutoka nadhani inaweza ikawa kama wiki moja na nusu mbele itakuwa imetoka kwasababu hapa video ya ‘Umebadilika’ muda si mrefu nitai release, kwahiyo nitaipa gap kidogo kama wiki moja na nusu wiki mbili flani ntai release ngoma”.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Slider
MusicView All
TechnologyView All
PicturesView All
GamesView All
Labels
Category
Ads
Text
Find Us On Facebook
Link List
Contact Form
Blogroll
Flickr Images
728x90 AdSpace
Label
FashionView All
Latest News
Popular Posts
-
Tumezoea kusikia wakati wa kufunga ndoa watu wakila kiapo kuwa watapendana hadi kifo kitakapowakuta, kia...
-
Mansoor himid,aliyewahi kuwa mwakilishi na wakati flani waziri asiyekua na wizara maalum na pia ni shemeji wa rais karume, Akutwa na silaha...
-
Kikosi Kazi cha Polisi cha Kuzuia Dawa za Kulevya nchini kimemhoji kwa zaidi ya saa 10, msanii Agnes Gerald ‘Masogange’ kuhusiana na tuhum...
-
Nicki Minaj didn't seem to have big problems with hilarious memes appearing on the internet following the release of her...
-
5:55 PM PT -- Meek just posted his first pic after prison -- chilling in a living room and cracking jokes about a friend's broken foot...
-
Mr Blue aka Kabayser ameanzisha taasisi ya ‘Micharazo Foundation’ itakayoanza kupokea wasanii wapya na pia itakuwa sehemu ya kukuza vipaj...
-
Kiatu cha Nike Hypervenom cha mwaka 2014 kinavaliwa na wachezaji kama Welbeck, Neymar na Rooney kwenye kombe la dunia la 2014. Kiatu hichi c...
-
Mark Wahlberg 's massive home in Beverly Park, CA is finally complete ... 30,000 square feet strong ... and it's t...
-
Amber Rose was a guest on the Breakfast Club last week , and she threw some shade towards Tyga and Kylie Jenner, alluding that the two wer...
-
Lil Wayne ni msanii wa Hiphop lakini aliwahi kujaribu kutoa album ya rock ambayo inaitwa Rebirth yenye hit singles kama Knock Out na Porm ...
0 comments:
Post a Comment