Wednesday, October 1, 2014
On 4:05 AM by Unknown No comments
Mdudu wa kuvunja mahusiano na ndoa za mastaa amehamia Afrika, ambapo kuna tetesi kuwa ndoa ya muimbaji wa ‘Eminado’ Tiwa Savage wa Nigeria na mume wake aitwaye Tunji aka ‘Tee Billz’ inaelekea kuvunjika, ikiwa ni miezi mitano tu toka wawe mme na mke.
Miongoni mwa sababu zinazoongeza uzito wa tetesi hizo ni baada ya Tiwa Savage kumpiga chini mmewe kama meneja wake, na kuajiri meneja mpya aitwaye Emeka aka Meka Millions. Tee Billz ndiye aliyekuwa akisimamia kazi za Tiwa.
Chanzo kimoja kimeuambia mtandao wa Sahara Reporters kuwa ndoa ya Tiwa na Tee huenda ikavunjika sababu Tiwa hafurahii tena mapenzi ya mmewe.
Inadaiwa kuwa Tiwa aliwahi kuwa mpenzi wa muimbaji 2Face Idibia, kabla hawajaachana na 2Face kumuoa msichana mwingine aitwaye Annie Macaulay ambaye ndiye mkewe. Pia inasemekana Annie Macaulay (mke wa 2Face) aliwahi kuwa mpenzi wa Tee Billz kabla hawajaachaana na Tee kumuoa Tiwa.
Hivyo inasemekana kuwa Tiwa alikubali kwa haraka kuolewa na Tee ili kumlipizia 2Face na Tee alimuoa Tiwa kumlipizia Idibia.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Slider
MusicView All
TechnologyView All
PicturesView All
GamesView All
Labels
Category
Ads
Text
Find Us On Facebook
Link List
Contact Form
Blogroll
Flickr Images
728x90 AdSpace
Label
FashionView All
Latest News
Popular Posts
-
Tumezoea kusikia wakati wa kufunga ndoa watu wakila kiapo kuwa watapendana hadi kifo kitakapowakuta, kia...
-
Nicki Minaj didn't seem to have big problems with hilarious memes appearing on the internet following the release of her...
-
Miley Cyrus updated her Instagram with lots of photoshopped pictures. This time, Justin Bieber 's Calvin Kl...
-
Mr Blue aka Kabayser ameanzisha taasisi ya ‘Micharazo Foundation’ itakayoanza kupokea wasanii wapya na pia itakuwa sehemu ya kukuza vipaj...
-
Lil Wayne ni msanii wa Hiphop lakini aliwahi kujaribu kutoa album ya rock ambayo inaitwa Rebirth yenye hit singles kama Knock Out na Porm ...
-
Kikosi Kazi cha Polisi cha Kuzuia Dawa za Kulevya nchini kimemhoji kwa zaidi ya saa 10, msanii Agnes Gerald ‘Masogange’ kuhusiana na tuhum...
-
Yemen imesema wapiganaji wa kundi la al-Qaeda wamewaua watu sita katika mapi...
-
Brad Pitt has owned a gun since he was very young. In a new interview with Radio Times to promote his new flick " Fury ", the a...
-
Mara nyingi birthday party za washkaji huwa zinasindikizwa na umwagiwaji wa maji kwa mhusika,sasa unaambiwa hii ya Shetta imekua kibok...
-
Will Smith , who is gearing up for his new film " Focus " with Margot Robbie , opens up about his experience in 25 y...
0 comments:
Post a Comment