Thursday, November 27, 2014
On 4:20 AM by Unknown No comments
Ambwene Yesaya aka AY, hakwenda Marekani kushoot video ya ‘Touch Me’ aliyomshirikisha Sean Kingston na Ms Triniti pekee, alitaka kukutana pia na producer mkongwe, Andre Romelle Young aka Dr Dre ambaye ni role model wake.
“Nilijaribu kumtumia Sean Kingston, lakini ilishindikana,” AY ameliambia gazeti la Daily Nation la Kenya. “Tulikuwa tumeshapanga kabisa sehemu ya kukutana na muda, lakini (Dr Dre) hakuweza kufika sababu alibanwa na mambo mengine,” alisema AY.
“Kinachoridhisha zaidi ni ule ukweli kwamba alifahamu kuwa kulikuwa msanii wa Kiafrika kutoka Tanzania aliyetaka kuonana naye. Hivyo wakati ujao ntajaribu tena.”
Pamoja na kutokutana na Dre, AY alikutana mastaa wengine kama Soldier Boy, mchezaji mieleka wa zamani Hulk Hogan na wengine.
Kwa upande mwingine, AY alidai kuwa hakumlipa chochote Sean Kingston kufanya naye ngoma hiyo.
“Sikumlipa Sean hata senti. Huu ni mradi uliofanyika kwa nia njema na kupitia ukaribu tuliokuwa nao kwa miaka mingi.”
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Slider
MusicView All
TechnologyView All
PicturesView All
GamesView All
Labels
Category
Ads
Text
Find Us On Facebook
Link List
Contact Form
Blogroll
Flickr Images
728x90 AdSpace
Label
FashionView All
Latest News
Popular Posts
-
It's good to be Iron Man — Robert Downey Jr. once again leads Fo...
-
Tumezoea kusikia wakati wa kufunga ndoa watu wakila kiapo kuwa watapendana hadi kifo kitakapowakuta, kia...
-
Brad Pitt and Angelina Jolie will finally tie the knot, only for a movie. According to a scoop from The Hollywoo...
-
Brad Pitt has owned a gun since he was very young. In a new interview with Radio Times to promote his new flick " Fury ", the a...
-
Channel O walitisha sana na maandalizi ya mwaka huu wa 2014 ambapo magari mbalimbali yalitumika kuwaleta mastaa mpaka kwenye stage...
-
Will Smith , who is gearing up for his new film " Focus " with Margot Robbie , opens up about his experience in 25 y...
-
Miley Cyrus updated her Instagram with lots of photoshopped pictures. This time, Justin Bieber 's Calvin Kl...
-
Sio Wakati Wote Ni Wa Kazi Hata Kmaa Ni Mtu Maarufu Kuna Muda Unatakiwa Kukutana Na Watu Tofauti Na Kujipa Raha kwa Nafasi Kama Unavyomuo...
-
Mwanamke mmoja aliyejulikana kwa jina moja la Asha (31) ambaye ni mke wa mtu, amejikuta akiachika katika ndoa yake baada ya kudaiwa kumuun...
-
Justin Bieber ambaye hivi sasa yuko katika kipindi cha matazamio ameripotiwa kuhatarisha maisha ya watembea kwa miguu katika eneo la Beve...
0 comments:
Post a Comment