Thursday, November 27, 2014
On 4:20 AM by Unknown No comments
Ambwene Yesaya aka AY, hakwenda Marekani kushoot video ya ‘Touch Me’ aliyomshirikisha Sean Kingston na Ms Triniti pekee, alitaka kukutana pia na producer mkongwe, Andre Romelle Young aka Dr Dre ambaye ni role model wake.
“Nilijaribu kumtumia Sean Kingston, lakini ilishindikana,” AY ameliambia gazeti la Daily Nation la Kenya. “Tulikuwa tumeshapanga kabisa sehemu ya kukutana na muda, lakini (Dr Dre) hakuweza kufika sababu alibanwa na mambo mengine,” alisema AY.
“Kinachoridhisha zaidi ni ule ukweli kwamba alifahamu kuwa kulikuwa msanii wa Kiafrika kutoka Tanzania aliyetaka kuonana naye. Hivyo wakati ujao ntajaribu tena.”
Pamoja na kutokutana na Dre, AY alikutana mastaa wengine kama Soldier Boy, mchezaji mieleka wa zamani Hulk Hogan na wengine.
Kwa upande mwingine, AY alidai kuwa hakumlipa chochote Sean Kingston kufanya naye ngoma hiyo.
“Sikumlipa Sean hata senti. Huu ni mradi uliofanyika kwa nia njema na kupitia ukaribu tuliokuwa nao kwa miaka mingi.”
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Slider
MusicView All
TechnologyView All
PicturesView All
GamesView All
Labels
Category
Ads
Text
Find Us On Facebook
Link List
Contact Form
Blogroll
Flickr Images
728x90 AdSpace
Label
FashionView All
Latest News
Popular Posts
-
It's good to be Iron Man — Robert Downey Jr. once again leads Fo...
-
Tumezoea kusikia wakati wa kufunga ndoa watu wakila kiapo kuwa watapendana hadi kifo kitakapowakuta, kia...
-
Arnold Schwarzenegger was born and raised in Austria. But The Expendables 3 star looked like a true American as he left Cafe Roma in Beverly...
-
Brad Pitt and Angelina Jolie will finally tie the knot, only for a movie. According to a scoop from The Hollywoo...
-
Lil Wayne ni msanii wa Hiphop lakini aliwahi kujaribu kutoa album ya rock ambayo inaitwa Rebirth yenye hit singles kama Knock Out na Porm ...
-
ITALIA imeaga Kombe la Dunia nchini Brazil baada ya kufungwa 1-0 na Uruguay, bao pekee la Diego Godin katika mchezo ambao mshambuliaji Luis ...
-
Baada ya habari za ndege ya Malaysia airline hivi sasa ajali nyingine imetoka karibu kabisa na Tanzania ambapo ni nchini Uganda. Ndege hiy...
-
Channel O walitisha sana na maandalizi ya mwaka huu wa 2014 ambapo magari mbalimbali yalitumika kuwaleta mastaa mpaka kwenye stage...
-
Mwaka huu Psquare hawataki mchezo na mtuu baada ya kuachia nyimbo tatu kwa mpigo ikiwemo sapraiz ya nguvu ya video yao mpya inayoitwa Ej...
0 comments:
Post a Comment