Sunday, November 30, 2014
On 5:47 AM by Unknown No comments
Channel O walitisha sana na maandalizi ya mwaka huu wa 2014 ambapo magari mbalimbali yalitumika kuwaleta mastaa mpaka kwenye stage ambapo magari yaliyotumika yote yanatengenezwa hapahapa South Africa.
Furaha ya Watanzania ilikua kubwa baada ya kuona kijana kutoka nyumbani Tanzania Diamond Platnumz kushinda tuzo tatu kati ya nne alizokuwa anawania Most Gifted East, Most Gifted Afro Pop na Most Gifted Newcomer yaani msanii mpya.
Kwenye tuzo hizi Diamond aliambatana na mama yake mzazi pamoja na mrembo Zari wa Uganda ambae wamekua wakitajwa kwenye headlines sana na Diamond hivi karibuni.
Most Gifted R&B video
Crazy but Amazing-Donald
Most Gifted West Video
‘Turn Up-Olamide
Most Gifted Ragga/Dancehall
Buffalo Soulja
The Most Gifted Kwaito
Uhuru ft Oskido & Professor Kalawa -tjukutja
Most Gifted East Video
Diamond Platnumz
Most Gifted Dance Video
Busiswa-Ngoku
Most Gifted Hip Hop Video
AKA- Congratulate
Most Gifted Afro Pop Video
Diamond Platnumz
Most Gifted duo/group/featurning
KCEE ft Wizkid-Pull Over
Most Gifted Video of the Year
Carsper Nyovest- Dos Shebeleza
Most Gifted Newcomer
Diamond Platnumz
Most Gifted Male Video
Casper Nyovest-Doc Shebeleza
Most Gifted Female Video
Tiwa Savage-Eminado
Tuzo za 2014 za Channel O zimepata historia ya kipekee tofauti na siku nyingine ambazo Wanigeria ndio wamezoeleka kwamba wanashinda kwa wingi ila 2014 Diamond kutoka Tanzania na Carsper kutoka South Africa ndio wasanii pekee waliong’ara zaidi kwa kila mmoja kuondoka na tuzo zake tatu.
Kama Casper asingeshinda tuzo hiyo ya tatu basi Diamond ndio angekua amebeba tuzo nyingi zaidi kuliko msanii mwingine yeyote.
Mtangazaji na Mwimbaji Vanessa Mdee akichukua Selfie na Diamond na Babu Tale baada ya ushindi wa tuzo tatu.
Mtangazaji Shadee wa Clouds TV kwenye interview na Carsper Nyovest wa South Africa ambaye naye amenyakua tuzo tatu kama Diamond Platnumz.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Slider
MusicView All
TechnologyView All
PicturesView All
GamesView All
Labels
Category
Ads
Text
Find Us On Facebook
Link List
Contact Form
Blogroll
Flickr Images
728x90 AdSpace
Label
FashionView All
Latest News
Popular Posts
-
It's good to be Iron Man — Robert Downey Jr. once again leads Fo...
-
Tumezoea kusikia wakati wa kufunga ndoa watu wakila kiapo kuwa watapendana hadi kifo kitakapowakuta, kia...
-
Arnold Schwarzenegger was born and raised in Austria. But The Expendables 3 star looked like a true American as he left Cafe Roma in Beverly...
-
Brad Pitt and Angelina Jolie will finally tie the knot, only for a movie. According to a scoop from The Hollywoo...
-
Lil Wayne ni msanii wa Hiphop lakini aliwahi kujaribu kutoa album ya rock ambayo inaitwa Rebirth yenye hit singles kama Knock Out na Porm ...
-
ITALIA imeaga Kombe la Dunia nchini Brazil baada ya kufungwa 1-0 na Uruguay, bao pekee la Diego Godin katika mchezo ambao mshambuliaji Luis ...
-
Baada ya habari za ndege ya Malaysia airline hivi sasa ajali nyingine imetoka karibu kabisa na Tanzania ambapo ni nchini Uganda. Ndege hiy...
-
Channel O walitisha sana na maandalizi ya mwaka huu wa 2014 ambapo magari mbalimbali yalitumika kuwaleta mastaa mpaka kwenye stage...
-
Mwaka huu Psquare hawataki mchezo na mtuu baada ya kuachia nyimbo tatu kwa mpigo ikiwemo sapraiz ya nguvu ya video yao mpya inayoitwa Ej...
0 comments:
Post a Comment