Tuesday, November 25, 2014
On 12:45 AM by Unknown No comments
Diamond Platnumz yupo kwenye ligi nyingine kabisa sasa hivi. Staa huyo amewapiku mapacha wanaopendwa zaidi barani Afrika kwa views za video yao mpya ‘Shekini’.
Video ya mapacha hao iliyowekwa November 17, hadi sasa ina views 326,669 (zinazoongezeka) na wakati video ya ‘Ntampata Wapi’ ya Diamond iliyowekwa November 20 ikiwa na views 419,935 (zinaongezeka).
Shekini hadi sasa ina comments 313, likes 3523 na dislikes 96 huku Ntampata Wapi ikiwa na comments 805, likes 3458 na dislikes 406.
Wakati huo huo, msanii mwingine wa Nigeria, Waje amemwagia sifa kibao Diamond na kudai kuwa alimshawishi kutoitoa ngoma yao kabla ya kufanya video yake kitu ambacho anakishukuru.
“My #MCM is @diamondplatnumz from Tanzania. We have a song together that hasn’t been released yet and thanks to this man who made sure my excitement didn’t let me release it without a video. Now the excitement has doubled emojiemojiemoji shout to you my brother, your work ethic is inspiring. #perfection should always be the goal not a fluke,” ameandika Waje.
Video ya mapacha hao iliyowekwa November 17, hadi sasa ina views 326,669 (zinazoongezeka) na wakati video ya ‘Ntampata Wapi’ ya Diamond iliyowekwa November 20 ikiwa na views 419,935 (zinaongezeka).
Shekini hadi sasa ina comments 313, likes 3523 na dislikes 96 huku Ntampata Wapi ikiwa na comments 805, likes 3458 na dislikes 406.
Wakati huo huo, msanii mwingine wa Nigeria, Waje amemwagia sifa kibao Diamond na kudai kuwa alimshawishi kutoitoa ngoma yao kabla ya kufanya video yake kitu ambacho anakishukuru.
“My #MCM is @diamondplatnumz from Tanzania. We have a song together that hasn’t been released yet and thanks to this man who made sure my excitement didn’t let me release it without a video. Now the excitement has doubled emojiemojiemoji shout to you my brother, your work ethic is inspiring. #perfection should always be the goal not a fluke,” ameandika Waje.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Slider
MusicView All
TechnologyView All
PicturesView All
GamesView All
Labels
Category
Ads
Text
Find Us On Facebook
Link List
Contact Form
Blogroll
Flickr Images
728x90 AdSpace
Label
FashionView All
Latest News
Popular Posts
-
Tumezoea kusikia wakati wa kufunga ndoa watu wakila kiapo kuwa watapendana hadi kifo kitakapowakuta, kia...
-
Mansoor himid,aliyewahi kuwa mwakilishi na wakati flani waziri asiyekua na wizara maalum na pia ni shemeji wa rais karume, Akutwa na silaha...
-
Kikosi Kazi cha Polisi cha Kuzuia Dawa za Kulevya nchini kimemhoji kwa zaidi ya saa 10, msanii Agnes Gerald ‘Masogange’ kuhusiana na tuhum...
-
Nicki Minaj didn't seem to have big problems with hilarious memes appearing on the internet following the release of her...
-
Mr Blue aka Kabayser ameanzisha taasisi ya ‘Micharazo Foundation’ itakayoanza kupokea wasanii wapya na pia itakuwa sehemu ya kukuza vipaj...
-
5:55 PM PT -- Meek just posted his first pic after prison -- chilling in a living room and cracking jokes about a friend's broken foot...
-
Miley Cyrus updated her Instagram with lots of photoshopped pictures. This time, Justin Bieber 's Calvin Kl...
-
Amber Rose was a guest on the Breakfast Club last week , and she threw some shade towards Tyga and Kylie Jenner, alluding that the two wer...
-
Lil Wayne ni msanii wa Hiphop lakini aliwahi kujaribu kutoa album ya rock ambayo inaitwa Rebirth yenye hit singles kama Knock Out na Porm ...
-
Kiatu cha Nike Hypervenom cha mwaka 2014 kinavaliwa na wachezaji kama Welbeck, Neymar na Rooney kwenye kombe la dunia la 2014. Kiatu hichi c...