Tuesday, November 25, 2014
On 5:17 AM by Unknown No comments
Muongozaji wa video nchini, Nisher amesema waongozaji wengi wa video nchini wanazidi kuboresha kazi zao na ushindani ni mkubwa.
Nisher amesema kama kila muongozaji akiendelea kujituma na kuwa mbunifu zaidi, wasanii wanaokimbilia Kenya kushoot video wanaweza kubadilisha mawazo na kuzifanya video zao hapa hapa.
“Directors wengi wa Bongo wamejitahidi sana kufanya kazi nzuri kwa wasanii wao,” Nisher ameiambia Bongo5. “Sasa hivi kiukweli game linanoga kwasababu hata unafanya kazi unaona kuna competition fulani inaendelea ambayo ni positive tofauti na miaka ya hapa nyuma kidogo.”
Mwaka huu Nisher alishinda tuzo ya muongozaji wa video za muziki zinazopendwa kwenye Tuzo za Watu
Amesema ushindani huo umetokana na waongozaji wote kufuatilia kazi za wengine na kwakuwa wengi wanafanya vizuri, kila mmoja anataka kufanya kazi nzuri zaidi.
“Hiyo inawafanya watu wanakuwa creative, wanaumiza vichwa. Sasa hivi hata ukiangalia kwenye TV unaona usafi,” ameongeza Nisher ambaye hivi karibuni aliongoza na kutayarisha video ya wimbo wa Young Killer aliomshirikisha Fid Q ‘13’.
Nisher amesema kutokana na kuanza kuhusisha timu kubwa na vifaa vingi zaidi, hata bei ya kufanya video imepanda. “Mwaka huu bei zimekuja juu kidogo na standard imekuja juu hata ya production. Utaona sasa hivi tuna malori ya taa, malori ya cranes, yanabeba vitu mbalimbali, kuna crew kubwa. Vitu kama hivyo wasanii ndio wanapenda, wakiona wanasema ‘dah hapa kweli tunashoot video, sio ile unatoa tu mtaani na kikamera.”
Pamoja na kudai kuwa gharama za video hutokana na makubaliano baina yake na msanii, kiwango anachotoza sasa ni kuanzia shilingi milioni tano na mwakani anatarajia kupandisha akidai kuwa ni kutokana na kupanda kwa gharama ya vitu mbalimbali.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Slider
MusicView All
TechnologyView All
PicturesView All
GamesView All
Labels
Category
Ads
Text
Find Us On Facebook
Link List
Contact Form
Blogroll
Flickr Images
728x90 AdSpace
Label
FashionView All
Latest News
Popular Posts
-
It's good to be Iron Man — Robert Downey Jr. once again leads Fo...
-
Tumezoea kusikia wakati wa kufunga ndoa watu wakila kiapo kuwa watapendana hadi kifo kitakapowakuta, kia...
-
Arnold Schwarzenegger was born and raised in Austria. But The Expendables 3 star looked like a true American as he left Cafe Roma in Beverly...
-
Brad Pitt and Angelina Jolie will finally tie the knot, only for a movie. According to a scoop from The Hollywoo...
-
Lil Wayne ni msanii wa Hiphop lakini aliwahi kujaribu kutoa album ya rock ambayo inaitwa Rebirth yenye hit singles kama Knock Out na Porm ...
-
ITALIA imeaga Kombe la Dunia nchini Brazil baada ya kufungwa 1-0 na Uruguay, bao pekee la Diego Godin katika mchezo ambao mshambuliaji Luis ...
-
Baada ya habari za ndege ya Malaysia airline hivi sasa ajali nyingine imetoka karibu kabisa na Tanzania ambapo ni nchini Uganda. Ndege hiy...
-
Mwaka huu Psquare hawataki mchezo na mtuu baada ya kuachia nyimbo tatu kwa mpigo ikiwemo sapraiz ya nguvu ya video yao mpya inayoitwa Ej...
-
Brad Pitt has owned a gun since he was very young. In a new interview with Radio Times to promote his new flick " Fury ", the a...
0 comments:
Post a Comment