Tuesday, November 25, 2014
On 5:17 AM by Unknown No comments
Muongozaji wa video nchini, Nisher amesema waongozaji wengi wa video nchini wanazidi kuboresha kazi zao na ushindani ni mkubwa.
Nisher amesema kama kila muongozaji akiendelea kujituma na kuwa mbunifu zaidi, wasanii wanaokimbilia Kenya kushoot video wanaweza kubadilisha mawazo na kuzifanya video zao hapa hapa.
“Directors wengi wa Bongo wamejitahidi sana kufanya kazi nzuri kwa wasanii wao,” Nisher ameiambia Bongo5. “Sasa hivi kiukweli game linanoga kwasababu hata unafanya kazi unaona kuna competition fulani inaendelea ambayo ni positive tofauti na miaka ya hapa nyuma kidogo.”
Mwaka huu Nisher alishinda tuzo ya muongozaji wa video za muziki zinazopendwa kwenye Tuzo za Watu
Amesema ushindani huo umetokana na waongozaji wote kufuatilia kazi za wengine na kwakuwa wengi wanafanya vizuri, kila mmoja anataka kufanya kazi nzuri zaidi.
“Hiyo inawafanya watu wanakuwa creative, wanaumiza vichwa. Sasa hivi hata ukiangalia kwenye TV unaona usafi,” ameongeza Nisher ambaye hivi karibuni aliongoza na kutayarisha video ya wimbo wa Young Killer aliomshirikisha Fid Q ‘13’.
Nisher amesema kutokana na kuanza kuhusisha timu kubwa na vifaa vingi zaidi, hata bei ya kufanya video imepanda. “Mwaka huu bei zimekuja juu kidogo na standard imekuja juu hata ya production. Utaona sasa hivi tuna malori ya taa, malori ya cranes, yanabeba vitu mbalimbali, kuna crew kubwa. Vitu kama hivyo wasanii ndio wanapenda, wakiona wanasema ‘dah hapa kweli tunashoot video, sio ile unatoa tu mtaani na kikamera.”
Pamoja na kudai kuwa gharama za video hutokana na makubaliano baina yake na msanii, kiwango anachotoza sasa ni kuanzia shilingi milioni tano na mwakani anatarajia kupandisha akidai kuwa ni kutokana na kupanda kwa gharama ya vitu mbalimbali.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Slider
MusicView All
TechnologyView All
PicturesView All
GamesView All
Labels
Category
Ads
Text
Find Us On Facebook
Link List
Contact Form
Blogroll
Flickr Images
728x90 AdSpace
Label
FashionView All
Latest News
Popular Posts
-
Tumezoea kusikia wakati wa kufunga ndoa watu wakila kiapo kuwa watapendana hadi kifo kitakapowakuta, kia...
-
Nicki Minaj didn't seem to have big problems with hilarious memes appearing on the internet following the release of her...
-
Mr Blue aka Kabayser ameanzisha taasisi ya ‘Micharazo Foundation’ itakayoanza kupokea wasanii wapya na pia itakuwa sehemu ya kukuza vipaj...
-
Miley Cyrus updated her Instagram with lots of photoshopped pictures. This time, Justin Bieber 's Calvin Kl...
-
Kikosi Kazi cha Polisi cha Kuzuia Dawa za Kulevya nchini kimemhoji kwa zaidi ya saa 10, msanii Agnes Gerald ‘Masogange’ kuhusiana na tuhum...
-
Amber Rose was a guest on the Breakfast Club last week , and she threw some shade towards Tyga and Kylie Jenner, alluding that the two wer...
-
Lil Wayne ni msanii wa Hiphop lakini aliwahi kujaribu kutoa album ya rock ambayo inaitwa Rebirth yenye hit singles kama Knock Out na Porm ...
-
Mark Wahlberg 's massive home in Beverly Park, CA is finally complete ... 30,000 square feet strong ... and it's t...
-
5:55 PM PT -- Meek just posted his first pic after prison -- chilling in a living room and cracking jokes about a friend's broken foot...
-
Will Smith , who is gearing up for his new film " Focus " with Margot Robbie , opens up about his experience in 25 y...
0 comments:
Post a Comment