Tuesday, November 25, 2014
On 5:09 AM by Unknown No comments
December 5, rapper One the Incredible anatarajia kuiachia album yake ya pili inayokwenda kwa jina la R.A.P ambayo ni kifupi cha ‘Representing Africa Popote’, ) Desemba 5 mwaka huu.
Akiongea na kipindi cha Bomba Base Show cha Bomba FM ya Mbeya, One amesema album hiyo inatoka akiwa chini ya uongozi mpya.
“Sasa hivi nina management mpya nimefungua kampuni yangu mpya ambayo inasimamia kazi zangu, ndio kitu kilichofanya album yangu niisogeze mbele. Ni mafanikio mengi nimeanza kuyaona toka nikiwa na management mpya lakini nisingependa kuyaongelea kwa sasa,” amesema.
One ametawaja maproducer walioshiriki kutayarisha album hiyo kuwa pamoja na yeye mwenyewe, wapo Mujwahuki, Nikki Mbishi na Dunga.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Slider
MusicView All
TechnologyView All
PicturesView All
GamesView All
Labels
Category
Ads
Text
Find Us On Facebook
Link List
Contact Form
Blogroll
Flickr Images
728x90 AdSpace
Label
FashionView All
Latest News
Popular Posts
-
Tumezoea kusikia wakati wa kufunga ndoa watu wakila kiapo kuwa watapendana hadi kifo kitakapowakuta, kia...
-
Mansoor himid,aliyewahi kuwa mwakilishi na wakati flani waziri asiyekua na wizara maalum na pia ni shemeji wa rais karume, Akutwa na silaha...
-
Kikosi Kazi cha Polisi cha Kuzuia Dawa za Kulevya nchini kimemhoji kwa zaidi ya saa 10, msanii Agnes Gerald ‘Masogange’ kuhusiana na tuhum...
-
Nicki Minaj didn't seem to have big problems with hilarious memes appearing on the internet following the release of her...
-
Mr Blue aka Kabayser ameanzisha taasisi ya ‘Micharazo Foundation’ itakayoanza kupokea wasanii wapya na pia itakuwa sehemu ya kukuza vipaj...
-
5:55 PM PT -- Meek just posted his first pic after prison -- chilling in a living room and cracking jokes about a friend's broken foot...
-
Miley Cyrus updated her Instagram with lots of photoshopped pictures. This time, Justin Bieber 's Calvin Kl...
-
Amber Rose was a guest on the Breakfast Club last week , and she threw some shade towards Tyga and Kylie Jenner, alluding that the two wer...
-
Lil Wayne ni msanii wa Hiphop lakini aliwahi kujaribu kutoa album ya rock ambayo inaitwa Rebirth yenye hit singles kama Knock Out na Porm ...
-
Kiatu cha Nike Hypervenom cha mwaka 2014 kinavaliwa na wachezaji kama Welbeck, Neymar na Rooney kwenye kombe la dunia la 2014. Kiatu hichi c...
0 comments:
Post a Comment