Tuesday, November 25, 2014
On 5:04 AM by Unknown No comments
Baada ya kuachia ‘Pacha Wangu’, Rich Mavoko amesema yupo chimbo kuandaa silaha za kufunga
mwaka.Mavoko ameiambia Bongo5 kuwa sababu inayomfanya aachie wimbo mpya ni baada ya kuona mashabiki wa muziki wake bado wanahitaji mawe zaidi kutoka kwake.
“Kuna kazi ipo ndani imeshafanyiwa kila kitu, manejimenti wapo kwenye maandalizi kwaajili ya uzinduzi. Mimi nahisi inaweza ikatoka kufunga mwaka na pia kama tukiona vipi inaweza ikatoka kufungulia mwaka.” amesema Mavoko.
Katika hatua nyingine Mavoko amesema mwaka huu umekuwa wa neema zaidi kwake.
“Mwaka huu umekuwa vizuri sana kwenye biasahara ya muziki wangu, kwahiyo tunajipanga na kuomba Mungu mwakani uwe mzuri zaidi. Kuna mambo makubwa nimeyafanya mwaka huu lakini siwezi kuyaweka hadharani bado haijaisha. Lakini mambo yako vizuri, vikiisha watu wataviona.”
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Slider
MusicView All
TechnologyView All
PicturesView All
GamesView All
Labels
Category
Ads
Text
Find Us On Facebook
Link List
Contact Form
Blogroll
Flickr Images
728x90 AdSpace
Label
FashionView All
Latest News
Popular Posts
-
It's good to be Iron Man — Robert Downey Jr. once again leads Fo...
-
Tumezoea kusikia wakati wa kufunga ndoa watu wakila kiapo kuwa watapendana hadi kifo kitakapowakuta, kia...
-
Arnold Schwarzenegger was born and raised in Austria. But The Expendables 3 star looked like a true American as he left Cafe Roma in Beverly...
-
Brad Pitt and Angelina Jolie will finally tie the knot, only for a movie. According to a scoop from The Hollywoo...
-
Lil Wayne ni msanii wa Hiphop lakini aliwahi kujaribu kutoa album ya rock ambayo inaitwa Rebirth yenye hit singles kama Knock Out na Porm ...
-
ITALIA imeaga Kombe la Dunia nchini Brazil baada ya kufungwa 1-0 na Uruguay, bao pekee la Diego Godin katika mchezo ambao mshambuliaji Luis ...
-
Baada ya habari za ndege ya Malaysia airline hivi sasa ajali nyingine imetoka karibu kabisa na Tanzania ambapo ni nchini Uganda. Ndege hiy...
-
Mwaka huu Psquare hawataki mchezo na mtuu baada ya kuachia nyimbo tatu kwa mpigo ikiwemo sapraiz ya nguvu ya video yao mpya inayoitwa Ej...
-
Brad Pitt has owned a gun since he was very young. In a new interview with Radio Times to promote his new flick " Fury ", the a...
0 comments:
Post a Comment