Tuesday, November 25, 2014
On 5:04 AM by Unknown No comments
Baada ya kuachia ‘Pacha Wangu’, Rich Mavoko amesema yupo chimbo kuandaa silaha za kufunga
mwaka.Mavoko ameiambia Bongo5 kuwa sababu inayomfanya aachie wimbo mpya ni baada ya kuona mashabiki wa muziki wake bado wanahitaji mawe zaidi kutoka kwake.
“Kuna kazi ipo ndani imeshafanyiwa kila kitu, manejimenti wapo kwenye maandalizi kwaajili ya uzinduzi. Mimi nahisi inaweza ikatoka kufunga mwaka na pia kama tukiona vipi inaweza ikatoka kufungulia mwaka.” amesema Mavoko.
Katika hatua nyingine Mavoko amesema mwaka huu umekuwa wa neema zaidi kwake.
“Mwaka huu umekuwa vizuri sana kwenye biasahara ya muziki wangu, kwahiyo tunajipanga na kuomba Mungu mwakani uwe mzuri zaidi. Kuna mambo makubwa nimeyafanya mwaka huu lakini siwezi kuyaweka hadharani bado haijaisha. Lakini mambo yako vizuri, vikiisha watu wataviona.”
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Slider
MusicView All
TechnologyView All
PicturesView All
GamesView All
Labels
Category
Ads
Text
Find Us On Facebook
Link List
Contact Form
Blogroll
Flickr Images
728x90 AdSpace
Label
FashionView All
Latest News
Popular Posts
-
Tumezoea kusikia wakati wa kufunga ndoa watu wakila kiapo kuwa watapendana hadi kifo kitakapowakuta, kia...
-
Mansoor himid,aliyewahi kuwa mwakilishi na wakati flani waziri asiyekua na wizara maalum na pia ni shemeji wa rais karume, Akutwa na silaha...
-
Kikosi Kazi cha Polisi cha Kuzuia Dawa za Kulevya nchini kimemhoji kwa zaidi ya saa 10, msanii Agnes Gerald ‘Masogange’ kuhusiana na tuhum...
-
Nicki Minaj didn't seem to have big problems with hilarious memes appearing on the internet following the release of her...
-
Mr Blue aka Kabayser ameanzisha taasisi ya ‘Micharazo Foundation’ itakayoanza kupokea wasanii wapya na pia itakuwa sehemu ya kukuza vipaj...
-
5:55 PM PT -- Meek just posted his first pic after prison -- chilling in a living room and cracking jokes about a friend's broken foot...
-
Miley Cyrus updated her Instagram with lots of photoshopped pictures. This time, Justin Bieber 's Calvin Kl...
-
Amber Rose was a guest on the Breakfast Club last week , and she threw some shade towards Tyga and Kylie Jenner, alluding that the two wer...
-
Lil Wayne ni msanii wa Hiphop lakini aliwahi kujaribu kutoa album ya rock ambayo inaitwa Rebirth yenye hit singles kama Knock Out na Porm ...
-
Kiatu cha Nike Hypervenom cha mwaka 2014 kinavaliwa na wachezaji kama Welbeck, Neymar na Rooney kwenye kombe la dunia la 2014. Kiatu hichi c...
0 comments:
Post a Comment